Gb1 $15 kama ni marekani . Kima Cha chini saa 1 $20 Tanzania saa 1 Tsh 2,770
Usa $20 =75% $15 gb1 Tanzania Tsh 2,770 =75% tsh2,000 gb1 ,wapi tofauti au nafuu⁉️ ,Hii mifano imepitwa na wakati kutumika kulaghai umma ,mwambie Msigwa asirudie Tena kucomment ujinga bali atoe taarifa ya serikali kama...