Huyu waziri ni wakulaani ni heri angeamuru seal za plastic zisitumike ila baadala watumie za karatasi.kama hoja ni plastic na sio kuagiza tuu toa seal basi .huu ni ushetani
Kama ujui Yesu sio Mzungu ni mwafrika ndio maana alienda kufichwa Egypt kwa waafrika.kwakuongezea Israel ilikuwa na ataa Leo hiko bara la Africa .umeona wapi bara likatenganishwa na mpaka .Misri ni afrika inaiachaje Israel jirani yake !?
Zingatia pia hakuna nabi Wala mtume Mzungu .Muarabu Wala Muasia .mitume karibu wote wanatokea uajemi na Africa na bila kubabaishwa Israel ilikuwa na ataa Leo hipo bara la Africa .na kama hujui mtume Ibrahim mke wake wa tatu na ambaye amezaa nae watoto wengi 6 ni Ketura mwafrika na ataa Yule...
Gb1 $15 kama ni marekani . Kima Cha chini saa 1 $20 Tanzania saa 1 Tsh 2,770
Usa $20 =75% $15 gb1 Tanzania Tsh 2,770 =75% tsh2,000 gb1 ,wapi tofauti au nafuu⁉️ ,Hii mifano imepitwa na wakati kutumika kulaghai umma ,mwambie Msigwa asirudie Tena kucomment ujinga bali atoe taarifa ya serikali kama...
Gb1 $15 kama ni marekani . Kima Cha chini saa 1 $20 Tanzania saa 1 Tsh 2,770
Usa $20 =75% $15 gb1 Tanzania Tsh 2,770 =75% tsh2,000 gb1 ,wapi tofauti au nafuu⁉️ ,Hii mifano imepitwa na wakati kutumika kulaghai umma ,mwambie Msigwa asirudie Tena kucomment ujinga bali atoe taarifa ya serikali kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.