Aisee hawa vijana wanaosajili line mtaani wanafanya uhalifu ambao kimsingi wanatakiwa kwenda jela.
Leo nimehakiki line nilizosajili kwa kitambulisho cha NIDA, aisee nimeshangaa yani kukuta namba kibao ambazo sijazisajili kumbe kuna uhuni wanakufanyia unaposajili kumbe kuna namba zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.