Kwa huzuni sana Hawa watu hawana huruma yaani ni wakatili mno.
Kweli tumelipia dawa miezi yote hii halafu tunaambiwa eti kiwanda kinachotoa dawa kimesitisha kuzalisha nyie watu nyie muogopeni Mungu.
Dear mama Samia sijui kama unapitiaga social media ila kama unapitia tunaomba tusaidie mama...
Wasalam wakuu, nimepata changamoto kidogo kwenye hii taasisi
Mzee wangu anasumbuliwa na Cancer alifanyiwa operation wakatoa uvimbe, then tukapewa referral kwenda Ocean Road Cancer Institute tulipofika tulipokelewa tukapewa utaratibu.
Tukaambiwa tulipie shilingi milioni tatu na laki sita kwa...
Mungu ashukuluwe kwa ajili Ako,
But as for me ni mwaka wa Tano and counting kila siku linazaliwa jipya kila leo afadhali ya Jana
Mungu anikumbuke uniombeage my dr Sina ata nguvu ya kuomba tena Mungu tu anihurumie
Sio mtaalamu sana wa kiingereza, lakini kama nipo hai sasa hivi ni kwa sababu naona hamna mtu atakaelea huyu kiumbe niliemleta Duniani.
Kwa huzuni, majukumu na uchungu niliyobeba ningeweza kumuomba Mungu nife hata leo nipumzike, but ni vile nina jukum la kulea na kumlinda huyu kijana wangu...
Hata mi natamani iwe chai maana namuonea huruma sana huyu baba tena Bora mkewe angekua mkimya asingeshare na watu[emoji17][emoji17][emoji17] mim mwenyewe natamani kumwambia sema naogopa ntamuua Bure
Wasalaam wana jamvi
Waswahili wanasema kua uyaone,
Kwenye Maisha yetu ya mahisiano kila mmoja anapitia changamoto yake. Jana katika maongezi na shoga angu wangu wa dasilama au daslam kama mnavoiita wenyewe akawa ananieleza changamoto yake na kuomba ushauli,
Bibi huyu ni mke wa bwana mmoja...
Habari wana jamvi
Leo nilikua kwenye kikao Cha familia tukijarbu kusuluhisha hii case, uyu dada ameolewa lakini kuna muda hajiskii tu kukaa na mumewe, yaani according to her kwa maudhi aliyonayo mumewe hua kuna muda anataka kukaa mwenyewe.
Kwaiyo amekua akiiba Hela ndan hata 10m anaondoka...
Najarbu tu kuwaza, wazee wetu hawakua wajinga kiivo lazima walitengeneza katika namna ambayo mama zetu waliipenda na kwa ugum wa Ganda la Kobe afu litengenezwe kwa ustadi[emoji848][emoji848] nadhani ilikua condom pendwa kwa miaka io sijui lakini najarbu tu kuwaza
Kondomu ni kifaa/zana iliyotengenezwa mahususi kuvalisha uume au kuwekwa ukeni wakati wa kujamiiana. Kwa kawaida kifaa/zana hiyo hubana kufuatana na umbile la uume au uke.
Historia
Matumizi ya kondomu yamefahamika tangu miaka mingi iliyopita, japokuwa hatuna hakika kama ilitumika kuzuia...
Habari humu Ndani nilikua naomba kujua kama mtu anajua namna fidia kwa mfanyakazi inalipwa endapo kaumia kazini.
Yaani inakua calculated vipi na malipo yanachukua muda gani?
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.
Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana, nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo.
Ntakuja na Uzi...
Mambo si ndo ayo oa wote jitambulishe kwa wazazi washndwe wenyewe ila wewe kua huru
Usibebe lawama za watu kwenye mabega yako
We all make mistakes kuna wengine ni worse kuliko Ata wewe kuna mwamba namjua he's 31 na ana baby mamas 10 na watoto 11 just imagine
It's not late make the right...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.