Nimeongea na Mkurugenzi wa vanilla int akisema kuwa vanilla inakubali popote na wanailoma kwenye green house maana yake lazima kuwa na system ya umwagiliaji(irrigation system) sijui kama hiyo iko Sawa kwa uzoefu wako, na je umelima hiyo vanilla?
Ndio nipe na faida na changamoto zake, masoko na faida ikoje, nimewahi kumsikia anaejiita Mkurugenzi wa vanilla int hapa Tanzania akisema zao la vanilla hulimwa popote na wewe linakubali sehemu za baridi tu vipi hapo.
Siku za hivi karibuni kumekuwa na uhamasishaji mkubwa sana juu ya kilimo cha vanilla hapa nchini Tanzania, wahamasishaji wanadai kuwa zao la vanilla ni zao lenye faida na lina utajiri mkubwa sana tena wanasema ni zaidi ya madini.
Mimi binafsi nashawishika kuingia kwenye Kilimo hicho ila tu...
Acha nitoe ushuhuda kidogo kwani ninamiliki Subaru xt ya 2010 yenye cc 2456 + turbo charged Ej 25, speed 240 ph, ni bonge la Gari, nainjoy sana, ina nguvu ni hatari,ila inahitaji care sana pia spare ni ghali ukilinganisha na Gari nyingi, barabarani inatulia sana haiyumbi hata kidogo, si bravis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.