Habari zenu wana jf?.
Wahenga walisema MFICHA MOTO, MOSHI HUMUUMBUA.
Ndugu zangu wana Jf? Najua humu ndani wapo wamiliki wa vyombo vya moto lakini pia wapo ndugu na jamaa ambao wana roho ya kupeana ramani za kazi
Kuhusu aina ya chombo sichagui, kwasababu najua kuviendesha na nina uzoefu...
Habari zenu wana jf?.
Wahenga walisema MFICHA MOTO, MOSHI HUMUUMBUA.
Ndugu zangu wana jf? Najua humu ndani wapo wamiliki wa vyombo vya moto lakini pia wapo ndugu na jamaa ambao wana roho ya kupeana ramani za kazi
Kuhusu aina ya chombo sichagui, kwasababu najua kuviendesha na nina uzoefu...
Nataka kujua namna ya kutoa pesa kiwango chochote.
Kwa mfano nataka kutoka laki na nusu. Lakini nikiangalia viwango pale kwenye skrini sioni laki na nusu. Je? Nawezaje kutoa kiwango cha tofauti na kilichopangwa, nimeona sehemu ya kuandika, ni kajaribu lakini ikakataa, sasa labda kuna namna ya...
Hahahahaha, sasa hapa nilipo sina kazi nataabika hivi.. Afu tena nianze kutafuta vyeti, si nitarudi kijijini... Mana njia zote za kupata vyeti, lazima usome kaka... Sasa inakuwaje apo.... Nyie nichekieni hata pikapu nipate riziki
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hizo C zingine ni vigezo tosha, ila C kavu ndio kubwa kuliko zote... Na hio kuipata lazima usome
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Sikati tamaa, mana mimi ni wakiume tu.. Ila nikipata ramani yeyote mimi nitafanya tu... Shukrani kaka
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Naitwa Rashidi omary Khatibu, umri wangu miaka 27, Mzawa wa tanga... Ila kwa sasa naishi Arusha
Kazi niliokua nafanya ni kusafirisha mizigo mbalimbali kwenda mikoani kwa njia ya maroli, nikiwa kama dereva... Ila kwenye kazi kama mnavyojua hazikosi kasumba ndogondogo.
Nina mwezi wa sita sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.