Nakushukuru sana mkuu, barikiwa sana, ngoja niusome huo uzi... Alafu kingine hapo uliposema ku-end trip bila reason, sijakupata.... Na kuhusu wanakata moja kwa moja kwa bank,.. Mbona sijaunganisha na bank yeyote, sasa itakuaje
Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni mgeni kabisa katika ishu za Taxmtandao, hususan BOLT, Nataka kutumia chombo changu bajaj kujipatia riziki, na tayari nina akaunti, lakini sasa nasikia kuna hali ya kufungiwa. Leongo la uzi huu ni kufahamu jinsi ya kutumia Bolt kama dereva
POINT
1. Ni makosa...
Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni mgeni kabisa katika ishu za Taxmtandao, hususan BOLT, Nataka kutumia chombo changu bajaj kujipatia riziki, na tayari nina akaunti, lakini sasa nasikia kuna hali ya kufungiwa. Leongo la uzi huu ni kufahamu jinsi ya kutumia Bolt kama dereva
POINT
1. Ni makosa...
Habari zenu wana jf?.
Wahenga walisema MFICHA MOTO, MOSHI HUMUUMBUA.
Ndugu zangu wana Jf? Najua humu ndani wapo wamiliki wa vyombo vya moto lakini pia wapo ndugu na jamaa ambao wana roho ya kupeana ramani za kazi
Kuhusu aina ya chombo sichagui, kwasababu najua kuviendesha na nina uzoefu...
Habari zenu wana jf?.
Wahenga walisema MFICHA MOTO, MOSHI HUMUUMBUA.
Ndugu zangu wana jf? Najua humu ndani wapo wamiliki wa vyombo vya moto lakini pia wapo ndugu na jamaa ambao wana roho ya kupeana ramani za kazi
Kuhusu aina ya chombo sichagui, kwasababu najua kuviendesha na nina uzoefu...
Nataka kujua namna ya kutoa pesa kiwango chochote.
Kwa mfano nataka kutoka laki na nusu. Lakini nikiangalia viwango pale kwenye skrini sioni laki na nusu. Je? Nawezaje kutoa kiwango cha tofauti na kilichopangwa, nimeona sehemu ya kuandika, ni kajaribu lakini ikakataa, sasa labda kuna namna ya...
Hahahahaha, sasa hapa nilipo sina kazi nataabika hivi.. Afu tena nianze kutafuta vyeti, si nitarudi kijijini... Mana njia zote za kupata vyeti, lazima usome kaka... Sasa inakuwaje apo.... Nyie nichekieni hata pikapu nipate riziki
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hizo C zingine ni vigezo tosha, ila C kavu ndio kubwa kuliko zote... Na hio kuipata lazima usome
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.