Recent content by MoonBoy

  1. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Habari wana jf? Naomba elimu juu ya matumizi ya bolt (taxmtandao)

    Nakushukuru sana mkuu, barikiwa sana, ngoja niusome huo uzi... Alafu kingine hapo uliposema ku-end trip bila reason, sijakupata.... Na kuhusu wanakata moja kwa moja kwa bank,.. Mbona sijaunganisha na bank yeyote, sasa itakuaje
  2. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Habari wana jf? Naomba elimu juu ya matumizi ya bolt (taxmtandao)

    Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni mgeni kabisa katika ishu za Taxmtandao, hususan BOLT, Nataka kutumia chombo changu bajaj kujipatia riziki, na tayari nina akaunti, lakini sasa nasikia kuna hali ya kufungiwa. Leongo la uzi huu ni kufahamu jinsi ya kutumia Bolt kama dereva POINT 1. Ni makosa...
  3. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Habari wana jf? Naomba elimu juu ya matumizi ya bolt (taxmtandao)

    Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni mgeni kabisa katika ishu za Taxmtandao, hususan BOLT, Nataka kutumia chombo changu bajaj kujipatia riziki, na tayari nina akaunti, lakini sasa nasikia kuna hali ya kufungiwa. Leongo la uzi huu ni kufahamu jinsi ya kutumia Bolt kama dereva POINT 1. Ni makosa...
  4. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Dereva wa bajaji, fuso, scania na mabasi nipo hapa mkoa wowote napiga kazi

    Habari zenu wana jf?. Wahenga walisema MFICHA MOTO, MOSHI HUMUUMBUA. Ndugu zangu wana Jf? Najua humu ndani wapo wamiliki wa vyombo vya moto lakini pia wapo ndugu na jamaa ambao wana roho ya kupeana ramani za kazi Kuhusu aina ya chombo sichagui, kwasababu najua kuviendesha na nina uzoefu...
  5. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Dereva wa bajaji, fuso, scania na mabasi nipo hapa mkoa wowote napiga kazi

    Habari zenu wana jf?. Wahenga walisema MFICHA MOTO, MOSHI HUMUUMBUA. Ndugu zangu wana jf? Najua humu ndani wapo wamiliki wa vyombo vya moto lakini pia wapo ndugu na jamaa ambao wana roho ya kupeana ramani za kazi Kuhusu aina ya chombo sichagui, kwasababu najua kuviendesha na nina uzoefu...
  6. MoonBoy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mume

    Mi nataka mke ila umri wangu mdogo kwako
  7. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu kuhusu ATM

    Nimejaribu Kwakweli lakini sikupata msaada wowote na salio lilikuwepo
  8. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu kuhusu ATM

    Kiwango kilikuwepo imekataa
  9. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu kuhusu ATM

    Nimewahi kufanya hivyo, lakini ikakataa... Niliandika 150,000 ikakataa... Sasa sijui iandikwe vipi
  10. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu kuhusu ATM

    Nataka kujua namna ya kutoa pesa kiwango chochote. Kwa mfano nataka kutoka laki na nusu. Lakini nikiangalia viwango pale kwenye skrini sioni laki na nusu. Je? Nawezaje kutoa kiwango cha tofauti na kilichopangwa, nimeona sehemu ya kuandika, ni kajaribu lakini ikakataa, sasa labda kuna namna ya...
  11. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Madereva wanahitajika MSD

    Hahahahaha, sasa hapa nilipo sina kazi nataabika hivi.. Afu tena nianze kutafuta vyeti, si nitarudi kijijini... Mana njia zote za kupata vyeti, lazima usome kaka... Sasa inakuwaje apo.... Nyie nichekieni hata pikapu nipate riziki Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
  12. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Madereva wanahitajika MSD

    Hizo C zingine ni vigezo tosha, ila C kavu ndio kubwa kuliko zote... Na hio kuipata lazima usome Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
  13. MoonBoy

    JamiiForums Tanzania Madereva wanahitajika MSD

    Mimi nina cheti cha udereva tu kutoka veta... Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom