Huyo tayari mkuu tafuta wengineMimi natafuta mke na naona unanifaa, nipe mchakato mzima wa mahari.
Atapata tu.Mradi ndonga iwe inaenda mnara dingi hahaha
Anzisha uzi wakoMi nataka mke ila umri wangu mdogo kwako
Ameona hapa ndo panamfaa.Maskini pooole;
Kwenye cycle yako ( kazini/ kibaruani, nyumba za ibada, mtaani) umekosa kabisa?...
Wakati mwingine ni bora ya zimwi ulijualo kuliko usilolijua kabisa
Usiwe na shaka mzee mwenzanguNaona leo tumekumbukwa...ngoja ninoe meno
Na jamiiforum n moja ya cycle yake....bado yuko sahihiMaskini pooole;
Kwenye cycle yako ( kazini/ kibaruani, nyumba za ibada, mtaani) umekosa kabisa?...
Wakati mwingine ni bora ya zimwi ulijualo kuliko usilolijua kabisa
Mwampepe kama mwampepe labda jina la kutunga lakini huwezi tunga usicho jua?Habari
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Ni mkristo, naishi Dar.
Natafuta mume wa kunioa.
Kwa aliye serious karibu PM.