Dadaa kwanza Ahsante kwa taarifa hiyo ila
Umeteleza
Uislamu halisi hauruhusu kufungamana katika
Ndoa baina ya Muislam na Kafiri siihitaji kwenda Deep saana kielimu ila hairuhusiki kisharia kama hatobadiri kuwa
Muislamu siyo ndoa halari watakuwa wanazini tu,
Utaratibu huu hata Maaskofu wanaujua...
Mtoa Uzi waala hujitambui hujauliza kana kwamba hufahamu au una shida ya kujua bali umekwishajiandalia majibu yako ya kipuuzi na pombe za kualikwa ulizokunywa leo,
Qur an hawaitafasiri hivyo kwa kuchukua au kuokota tu aya kama lisomwavyo Gazeti la Udaku au si mchezo kuna
Maulamaa waliobobea...
Bwana kwanza samahani kwa kukuelewa vibaya,
Mie ushauri wa pili kama ingekuwa ni mie
ningewauwa kwanza woote waliombaka,
Kisha namuoa na kwenda kuishi mbaali kidogo nisikofahamika,
Siombei lakini Mwanangu,Mama yangu,Dada yangu au mkewangu akibakwa ilihali nipo hai na mwenye afya siwagusi au...
Mie nashauri muoane kisha muhame mji pia,
Umemsifia kuwa anayo deen hasa siyo kweli asingekubali kuishi nawewe kijumba bila ndoa,
Mwisho aliyebaka na anayezini bila ndoa ni wale wale tu tofauti huyo ametumia nguvu nawewe umebembeleza.,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.