Recent content by moodchapter

  1. moodchapter

    Je, naweza kusoma degree ya kemia nikiwa nina Diploma Maalum ya Ualimu wa Sekondari (Kemia na Baiolojia)?

    Nimesoma diploma maalum ya ualimu wa sekondari(kemia na baiolojia) miaka mitatu ila nimemaliza nahitaji kujiendeleza nje ya ualimu nisomee degree ya kemia- je inawezekana?
  2. moodchapter

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Mi nimejaribu hivyo unavyosema ila nikitoka nikirudi nazikuta
  3. moodchapter

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Mi nimejaribu kufuta toka juzi lakini kila nikiingia kuchek nazikuta nilizofuta
  4. moodchapter

    Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

    Naomba kuuliza wakuu cv tunaiattach wap maana naona inahitajika
  5. moodchapter

    NATAFUTA BINTI WA KAZI ZA NDANI

    Habari zenu wakuu, nipo musoma mjini natafuta binti wa kazi za ndani VIGEZO. -Awe anajua kusoma na kuandika vizuri -Awe anajielewa -Awe na tabia njema -Awe anatokea mikoa jirani(Mwanza,Shinyanga au hapa Musoma) Kwa alie tayari anitafute 0764094582
Back
Top Bottom