Nimesoma diploma maalum ya ualimu wa sekondari(kemia na baiolojia) miaka mitatu ila nimemaliza nahitaji kujiendeleza nje ya ualimu nisomee degree ya kemia- je inawezekana?
Habari zenu wakuu, nipo musoma mjini natafuta binti wa kazi za ndani
VIGEZO.
-Awe anajua kusoma na kuandika vizuri
-Awe anajielewa
-Awe na tabia njema
-Awe anatokea mikoa jirani(Mwanza,Shinyanga au hapa Musoma)
Kwa alie tayari anitafute 0764094582
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.