moodchapter
Member
- Jun 28, 2020
- 18
- 5
Nimesoma diploma maalum ya ualimu wa sekondari(kemia na baiolojia) miaka mitatu ila nimemaliza nahitaji kujiendeleza nje ya ualimu nisomee degree ya kemia- je inawezekana?
Possible sema jiandae kukomaaNimesoma diploma maalum ya ualimu wa sekondari(kemia na baiolojia) miaka mitatu ila nimemaliza nahitaji kujiendeleza nje ya ualimu nisomee degree ya kemia- je inawezekana?
Kwasasa hakuna Diploma yenye mkopo ndani ya TZJe! Kuna mkopo kwenye Stashahada ya maalum ya sekondari? Mimi nahitaji kujiunga chuo Cha Butimba.