Recent content by Monster20

  1. M

    JamiiForums Tanzania Young Africans yazindua jezi mpya msimu wa 2021/2022

    Mwenye matokeo ya Yanga Jana please!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

    Shujaa wa nn, boya
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

    Uchunguz uanze kwenye maneno haya ambayo HAMZA amesikika akiyatoa kabla ya kifo chake, yanatisha
  4. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mnakosa uzalendo kwa ushabiki usiofaa

    Ungekuwa mzalendo unaeyaishi maneno yako ungekuwa ushahoji zile risasi 38 alizopigwa yule bwana eneo la viongozi hadi leo hakuna RB Polisi, halafu unaisema bila woga eti uzalendo, subirini, saa inakuja, Tena imekaribia Mbona risasi za Lisu mnashangilia hadi leo?! Tulieni, kunachemka. Malipo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tusimung'unye maneno Hamza ni gaidi kama " yule" aliyetaka kuua viongozi wa Serikali ni gaidi sembuse huyu aliyeua askari wetu?!

    Kwani unasumbuka, muda utaongea, tulia hivyo hivyo
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge tukachanje chanjo ya COVID-19 tusimsikilize Askofu Gwajima tusije kukosa vikao vijavyo

    Kitendo Cha wewe kutukana badala ya kukemea, wewe na yy ni akili 1, hamchekani. You are all SADIST! Kikubwa tukumbuke chanjo ni hiyari, na WA Tanzania wana AKILI. Kitendo Cha kulazimishana, kupiga piga makelele na kuhimizana, kuhojiana, watu hao wanafanya hivyo kutokana kuwa na upeo mdogo wa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge tukachanje chanjo ya COVID-19 tusimsikilize Askofu Gwajima tusije kukosa vikao vijavyo

    Ukiona mtu mzima anaandika hv ujue bado Kuna shida. Ukichanjwa si kwamba hutaambukiza Wala kuambukizwa, tunaokataa chanjo hatuoni sababu ya kuwa majaribio Kwa kuwa hata ukichanjwa utavaa tu barakoa. Tuko tunasubir chanjo iliyofanyiwa utafiti wa kutosha, then tukavanje. Kirusi Cha korona...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

    H How?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

    Ila katika uchunguz wao, polisi wajiulize Kwa KINA Sana, "Kwa nini alikuwa anapiga polisi tu, watu wengine anaacha". Swali la msingi Sana hili katika kuanzia uchunguz
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

    Ataisaidia polisi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mashuhuda wasimulia tukio la aliyekuwa akipiga risasi

    Ww wakikupa hata rungu utashinda kutumia. Kumbuka range unajiandaa, ila tukio kama Hilo hakuna maandalizi, unastukia puu hata risasi hujaungiza chemba, bro asikwambie mtu Kwa mazingira hayo ya kifo
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mashuhuda wasimulia tukio la aliyekuwa akipiga risasi

    Mental illness
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

    Huo ndio ugaidi, sio kupoteza nguvu kutafuta laki 6 ilipotumwa, pambaneni na ugaidi huoooooooo
  14. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Shoo: Yanayotendeka katika nchi hii yanasikitisha, Watanzania pigeni magoti mbele ya Mungu atajibu

    N Ni masikitiko hadi leo Taifa lenye makabila over 120 kijana mwenye akili badala ya kusikiliza mhusika kaongea nini, anasema kabila lake mchanga, Non-sense.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Shoo, samahani unapata wapi nguvu za kuihukumu Serikali kuwa imemuonea Mbowe?

    Hata wewe huitaji akili ya kuwa umesomeka Sheria au kuwa na IQ kuubwa Sana, Mbowe anatuhumiwa kufadhili ugaidi Kwa Tsh laki 6, narudia, LAKI 6, maana halisi ya ugaidi kila mtu anaijua. Kama hujui hata bastola ndogo yenye thanani hafifu kuimiliki hata Kwa njia isiyo halali ni zaidi ya $ 500...
Back
Top Bottom