Kuchanja ni hiyari lakini huna hiyari ya kuambukiza wengine.
Ndugu wabunge tusimsikilize Mbunge wa Kawe Askofu Gwajina kuhusiana na chanjo ya Korona , nawashauri nendeni mkachanje mpaka kadi zenu ili muendelee kuwatumikia wananchi katika majimbo yenu ni jambo la kusikitisha kuachia nafasi ya Ubunge kwasababu ya kutokupata chanjo ambayo pia ni tija kwa afaya yako na wananchi wako unaowaongoza.
Niseme tu kuwa kila mbunge anajua jinsi alivyopambania nafasi yake iwe kwa njia ya haki au njia hisiyo ya haki.
Itasikitisha sana Mbunge unarudishwa getini kwasasababu eti ujapata chanjo ya korona mbaya zaidi kanuni zinakuelekeza vizuri tu juu ya nafasi yako ya Ubunge , kuchanja ni hiyari lakini tujue kuwa kumuambukiza mwenzako sio hiyari , sasa tukiwa viongozi wenye sura ya kulitangaza taifa kwanini tusichanjee...?
Najua hivi karibuni vikao vya Bunge vitaanza
Ndugu wabunge tusimsikilize Mbunge wa Kawe Askofu Gwajina kuhusiana na chanjo ya Korona , nawashauri nendeni mkachanje mpaka kadi zenu ili muendelee kuwatumikia wananchi katika majimbo yenu ni jambo la kusikitisha kuachia nafasi ya Ubunge kwasababu ya kutokupata chanjo ambayo pia ni tija kwa afaya yako na wananchi wako unaowaongoza.
Niseme tu kuwa kila mbunge anajua jinsi alivyopambania nafasi yake iwe kwa njia ya haki au njia hisiyo ya haki.
Itasikitisha sana Mbunge unarudishwa getini kwasasababu eti ujapata chanjo ya korona mbaya zaidi kanuni zinakuelekeza vizuri tu juu ya nafasi yako ya Ubunge , kuchanja ni hiyari lakini tujue kuwa kumuambukiza mwenzako sio hiyari , sasa tukiwa viongozi wenye sura ya kulitangaza taifa kwanini tusichanjee...?
Najua hivi karibuni vikao vya Bunge vitaanza