Nimemaliza mwaka jana; nina 3 ya 11, physC chemC na biosB nikawa not slected due to program competetion, nlijaza MD mara 4 vyuo tafauti tafauti na pharmacy 1, sasa mwaka huu nahitaji kusoma MD hata HkMU. What to do?
Mimi ni mdau nliepiga 3 ya 11 an phyC chemC na biosB mwaka jana nikawa not selected due to prgrm cmpttn cos nlijaza MD zote vyuo tafauti tafauti sasa lengo langu ni MD mwaka huu nifanyaje, piga garagaza maana ndio ndoto yangu
hiv wale ambaw hawakuchaguliwa fist selection na TCU na second selection available slots hazikuw ndio lengo lao, mnawashauri nn au watatimiza vp ndot zao hasa ndugu zetu wa CBG na PCB
jamani sio siri tatzo la chakula mashuleni limekua tishio kubwa sana hasa mikoa ya nyanda za juu kusini (iringa, mbeya na sumbawanga) wanafunz wa a' level wanasumbuka sana..... Serikali mpo wapiiii???? Au hamulioni hiliiiiiiiiiii!!!!!?!?!!!?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.