Recent content by Moneytwister

  1. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Hello

    Unapatikana wapi tukusogezee kazi
  2. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Ushazoea kubishana simba na yanga mzee baba 😅 au sio
  3. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    😅😅me nimepita advance kwenda chuo mdogo angu tena engineering tunakutana na wadau wa veta huku field wapo vizur na certificate zao mpaka unaona aibu kujiita engineer
  4. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    We jamaa jau sana na ka advance kako ka HGL unajiona umekula msoto😂 ila bado akili zako ni finyu sana kama unaona mafundi wanafaa watu ambao hawana uwezo mkubwa.. huenda na umri nao bado mdogo hujajua uhalisia wa maisha
  5. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Ulifikiri ni simple 😂 huyu ni mpambanaji anajua kujiongeza hata ukikutana nae kazini atakuzidi tu vitu vingi amekwepa mishale mingi.. fanya na wewe kama simple
  6. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Ngoja nikupe faida kitu usichokijua ni kwamba watu wengi wanamaliza form 4 wakiwa na umri mdogo miaka 16-17 wanakua hawajitambui wanaanza kujitambua wanapofika chuo iyo elim ya kufaulu form 4 au ni yakukalilishwa tu hata A-level ni yale yale tu wala sio kipimo cha kwamba mtu anauwezo mkubwa...
  7. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Kwahiyo apo kikubwa ni form 5 na 6 ? Mbona kwa mwanafunzi aliyesoma certificate kuanzia NTA level 4,5,6 anakua vizuri zaidi ukikutana nae degree kuliko uyo wa form 6 uliza wadau wakupe muongozo inaonekana umetanguliza chuki zaidi na hasira za ujobless
  8. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Mtendaji mtaa MEO

    😂😂😅😅duuh apo baada ya nyongeza mwanzo walikua wanafanya kazi bure nini?
  9. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Mtendaji mtaa MEO

    Nomba mnisaidie kwa anaejua viwango vya mshahara afisa mtendaji mtaa daraja la tatu baada ya mama kuongeza mshahara
  10. Moneytwister

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wafahamu kwa uchache "Madada Poa" wa Barabarani

    Nipeni machimbo ya Tanga wapi tunateleza
  11. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Jinsi Nilivyojifadhili Chuo cha kati na sasa chuo kikuu bila backup yoyote

    Watu wa Arusha mpeni michongo dogo
  12. Moneytwister

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuaje baba kijana wa miaka 28 anaishi Kwa wazazi wake nyumba moja

    Muache jamaa mbona nia yake safi tu kila mtu na njia yake.. kwani anakaa kwenu
  13. Moneytwister

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechapiwa kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe

    Kwanini sasa useme mara ya kwanza.. share video iyo bas
Back
Top Bottom