ninachoamini mimi ni mfumo au system mbaya ,maana ukiangalia mfano ukitaka kuchukua fail unawahi pale saa kumi na mbili ili ushike namba .unapewa namba mda wa saa moja .saa mbili wakitoka sala wanakutafutia faili unaitwa unaambiwa nenda kwenye malipo .
unaweza kukaa dirisha la malipo kwa muda...
katika pitapita yangu mwezi uliopita nilikutana na kisa cha hawa jamaa wenye dhamana ya kukusanya ushuru wa maegesho ya magari jina la kampuni inaanzwa na P ,walimvamia dada mmoja kwenye gari lake na kutaka kulichukua wakamnyanganya na funguo za gari,kisa wanavyosema ni kuwa hakulipa ushuru wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.