Recent content by momentoftruth

  1. M

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Watu ata kupiga hawapigi wanalazimisha mpaka waingie kwenye box
  2. M

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Wakati tumeikamata mechi dakika 18 za mwanzo tumeshindwa kuwaadhibu walipoikamata wao wakatuadhibu. Ndio Quality inavyotaka. Viongozi waache unababaishaji watuletee watu wenye Quality. Doumbia akatusubiri nje aingie tu mpanzu tukimbizane. Mabeki wetu wakati ni kweli ni watulivu lakini wana...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Kwahiyo ndo watupe chakula kwenye mtaro, ule sio mkaa ni chakula
  4. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huwezi kuiombea Arsenal kushinda sio kweli Arsenal wameingia fainali kwa uwezo wao tu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mzee umechanganyikiwa au unasema mwendo wameumaliza wakati its a final ndiyo mechi ya mwisho ya mashindano hilo neno haliingii hapo. Endeleeni kufanya maombi tulikose ila tukilipata mjiandae
  6. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Unacheza na Yanga unapata nafasi ya kuongoza goli mbili unakua fala mpaka zinarudi zote
  7. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    Bila kuwafunga Yanga hakutakuwa na uimara wowote yanga ndio kipimo chetu cha uimara
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Sijui kuhusu mapepo sijui kuanguka na mambo hayo ninachojua ni kua majini ni viumbe walioumbwa na Mungu kama sisi tu binadamu ila sisi tumeumbwa kwa udongo wao wameumbwa kwa moto. Na wapo ambao ni waovu na wema kama ilivyo binadamu,na wao pia siku ikifika wanakufa na kwenda kusubiri malipo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania FT: NBC PL: Yanga 0-0 Simba | New Amaan Complex | 01.03.2026 | 08:15PM EAST

    Na huuu ndio ukweli kumuacha Chama kucheza dakika zote 90 ni uoga tu wa mwalimu toka kipindi cha kwanza pamoja kua hakucheza vibaya hivyo ila intensity ya mchezo ilishamshinda mapema tu, lazima tukubali kwenye mechi za kibabe huwezi kumtumia Chama dakika zote zile. Ile mechi Mwalimu angemuamini...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kenge nyie
  11. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa miaka mingi mechi aina hii ambayo wapinzani wetu wengi wamepoteza mechi zao tunapotakiwa kushinda tuwaruke zaidi mara nyingi tumekua tukipoteza alama ata hii ya leo ikitokea sitoshangaa. Japo ni matarajio yangu timu ipambane kama fainali na kushinda
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ndg zetu waislamu kwani Adhana ni lazima?

    Ukizisikia ziba masikio
  13. M

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Tanzania haijawa Tayari kwa mashindano makubwa ya kimataifa yanayoihusu timu ya Taifa

    Ishu ya kwanza ni hamasa lakini pia lazima Serikali ikubali kuingia gharama kulipia mashabiki inapofika kwenye timu ya taifa. Mechi na guinea kufuzu uwanja ulijaa
Back
Top Bottom