Wa coast yule ni triple G nafikiri ni Gerson Gerrard Gwalala mtamu sana yule jamaa. Halafu pale mashujaa kuna beki mmoja wa kati anaitwa Samson Madeleke bonge la beki lile jamaa sio hawa akina Kennedy
Huyu Kennedy kuna mtu anakula nae ni mchezaji wa kiwango cha majimaji sio Simba. Cha ajabu ana msimu wa sita Simba na hachezi na wala hajawahi kutaka kuondoka. Muda umefika sasa wa kufumua madudu yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.