Sijui kuhusu mapepo sijui kuanguka na mambo hayo ninachojua ni kua majini ni viumbe walioumbwa na Mungu kama sisi tu binadamu ila sisi tumeumbwa kwa udongo wao wameumbwa kwa moto.
Na wapo ambao ni waovu na wema kama ilivyo binadamu,na wao pia siku ikifika wanakufa na kwenda kusubiri malipo...
Na huuu ndio ukweli kumuacha Chama kucheza dakika zote 90 ni uoga tu wa mwalimu toka kipindi cha kwanza pamoja kua hakucheza vibaya hivyo ila intensity ya mchezo ilishamshinda mapema tu, lazima tukubali kwenye mechi za kibabe huwezi kumtumia Chama dakika zote zile. Ile mechi Mwalimu angemuamini...
Kwa miaka mingi mechi aina hii ambayo wapinzani wetu wengi wamepoteza mechi zao tunapotakiwa kushinda tuwaruke zaidi mara nyingi tumekua tukipoteza alama ata hii ya leo ikitokea sitoshangaa. Japo ni matarajio yangu timu ipambane kama fainali na kushinda
Ishu ya kwanza ni hamasa lakini pia lazima Serikali ikubali kuingia gharama kulipia mashabiki inapofika kwenye timu ya taifa. Mechi na guinea kufuzu uwanja ulijaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.