Recent content by momentoftruth

  1. M

    Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Sijui kuhusu mapepo sijui kuanguka na mambo hayo ninachojua ni kua majini ni viumbe walioumbwa na Mungu kama sisi tu binadamu ila sisi tumeumbwa kwa udongo wao wameumbwa kwa moto. Na wapo ambao ni waovu na wema kama ilivyo binadamu,na wao pia siku ikifika wanakufa na kwenda kusubiri malipo...
  2. M

    FT: NBC PL: Yanga 0-0 Simba | New Amaan Complex | 01.03.2026 | 08:15PM EAST

    Na huuu ndio ukweli kumuacha Chama kucheza dakika zote 90 ni uoga tu wa mwalimu toka kipindi cha kwanza pamoja kua hakucheza vibaya hivyo ila intensity ya mchezo ilishamshinda mapema tu, lazima tukubali kwenye mechi za kibabe huwezi kumtumia Chama dakika zote zile. Ile mechi Mwalimu angemuamini...
  3. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kenge nyie
  4. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa miaka mingi mechi aina hii ambayo wapinzani wetu wengi wamepoteza mechi zao tunapotakiwa kushinda tuwaruke zaidi mara nyingi tumekua tukipoteza alama ata hii ya leo ikitokea sitoshangaa. Japo ni matarajio yangu timu ipambane kama fainali na kushinda
  5. M

    Ndg zetu waislamu kwani Adhana ni lazima?

    Ukizisikia ziba masikio
  6. M

    Inawezekana Tanzania haijawa Tayari kwa mashindano makubwa ya kimataifa yanayoihusu timu ya Taifa

    Ishu ya kwanza ni hamasa lakini pia lazima Serikali ikubali kuingia gharama kulipia mashabiki inapofika kwenye timu ya taifa. Mechi na guinea kufuzu uwanja ulijaa
  7. M

    FT: Ken Gold FC 0-4 Simba SC || NBC PL || A.H.MWINYI TABORA|| 18.06.2025

    Mechi iko on nafikiri Azam wanahitilafu zao tu kwakua azam sports 1 and 2 zote zinaonesha mechi ya Yanga
  8. M

    Hivi wenzetu mnaoweka status WhatsApp mnafaidika nini? Mna utoto mwingi sana

    Nafikiri ungetupa maana ya Status kwanza tujiridhishe kama usemayo yanakubalika ama lah
  9. M

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mabingwa poleni
  10. M

    Full Time |NBC PL| KMC 1-2 Simba SC | KMC Complex, Mwenge | 16:00

    Simba wajiangalie sana maana saizi backline yote iko juu highline ikipigwa kaunta ni hatari
  11. M

    Full Time |NBC PL| KMC 1-2 Simba SC | KMC Complex, Mwenge | 16:00

    Uko sahihi wanapataga sana sare hawa
  12. M

    Full Time |NBC PL| KMC 1-2 Simba SC | KMC Complex, Mwenge | 16:00

    Simba turudi tena sokoni kutafuta mshindani halisi wa Zimbwe huyu Nouma mchezaji wa kawaida sana yeye anategemea zaidi kupiga krosi tu
Back
Top Bottom