Recent content by momentoftruth

  1. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huwezi kuiombea Arsenal kushinda sio kweli Arsenal wameingia fainali kwa uwezo wao tu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mzee umechanganyikiwa au unasema mwendo wameumaliza wakati its a final ndiyo mechi ya mwisho ya mashindano hilo neno haliingii hapo. Endeleeni kufanya maombi tulikose ila tukilipata mjiandae
  3. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Unacheza na Yanga unapata nafasi ya kuongoza goli mbili unakua fala mpaka zinarudi zote
  4. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    Bila kuwafunga Yanga hakutakuwa na uimara wowote yanga ndio kipimo chetu cha uimara
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Sijui kuhusu mapepo sijui kuanguka na mambo hayo ninachojua ni kua majini ni viumbe walioumbwa na Mungu kama sisi tu binadamu ila sisi tumeumbwa kwa udongo wao wameumbwa kwa moto. Na wapo ambao ni waovu na wema kama ilivyo binadamu,na wao pia siku ikifika wanakufa na kwenda kusubiri malipo...
  6. M

    JamiiForums Tanzania FT: NBC PL: Yanga 0-0 Simba | New Amaan Complex | 01.03.2026 | 08:15PM EAST

    Na huuu ndio ukweli kumuacha Chama kucheza dakika zote 90 ni uoga tu wa mwalimu toka kipindi cha kwanza pamoja kua hakucheza vibaya hivyo ila intensity ya mchezo ilishamshinda mapema tu, lazima tukubali kwenye mechi za kibabe huwezi kumtumia Chama dakika zote zile. Ile mechi Mwalimu angemuamini...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kenge nyie
  8. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa miaka mingi mechi aina hii ambayo wapinzani wetu wengi wamepoteza mechi zao tunapotakiwa kushinda tuwaruke zaidi mara nyingi tumekua tukipoteza alama ata hii ya leo ikitokea sitoshangaa. Japo ni matarajio yangu timu ipambane kama fainali na kushinda
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ndg zetu waislamu kwani Adhana ni lazima?

    Ukizisikia ziba masikio
  10. M

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Tanzania haijawa Tayari kwa mashindano makubwa ya kimataifa yanayoihusu timu ya Taifa

    Ishu ya kwanza ni hamasa lakini pia lazima Serikali ikubali kuingia gharama kulipia mashabiki inapofika kwenye timu ya taifa. Mechi na guinea kufuzu uwanja ulijaa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa

    Hamna mchezaji humo siku zote hufanya hivyo hivyo
  12. M

    JamiiForums Tanzania FT: Ken Gold FC 0-4 Simba SC || NBC PL || A.H.MWINYI TABORA|| 18.06.2025

    Mechi iko on nafikiri Azam wanahitilafu zao tu kwakua azam sports 1 and 2 zote zinaonesha mechi ya Yanga
Back
Top Bottom