Recent content by momentoftruth

  1. M

    11 Wafariki dunia baada ya mtambo wa kiwanda cha Mtibwa Sugar kulipuka

    Ahsante sana nimeondokewa na shemeji yangu aisee Allah ampokee kwa salama
  2. M

    FT: Dodoma 0 - 1 Simba | NBC PL | Jamhuri Stadium | 17/05/2024

    Mechi bado mbichi sana Dodoma wanaitaka sana hii mechi nguvu inayotumika ni kubwa sana. Speed, nguvu, Simba wasibweteke
  3. M

    Alinitukana baada ya kuhisi nimemdharau

    Yani uliacha mbunye mpya ukaenda kwenye mpira! daah! we jamaa wa wapi wewe!!!
  4. M

    Simba iwaongeze wazawa hawa msimu ujao, wana uwezo mkubwa

    Wa coast yule ni triple G nafikiri ni Gerson Gerrard Gwalala mtamu sana yule jamaa. Halafu pale mashujaa kuna beki mmoja wa kati anaitwa Samson Madeleke bonge la beki lile jamaa sio hawa akina Kennedy
  5. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wanaweza pata sare
  6. M

    FT: Simba 2-0 Mtibwa | NBC Premier League | Chamazi Stadium 03.05.2024

    Mgunda sijui kwanini kampanga Mzamiru hayuko uwanjani kabisa
  7. M

    FT: Simba 2-0 Mtibwa | NBC Premier League | Chamazi Stadium 03.05.2024

    Hiki kibeki kinaitwa kazi sijui nani alimleta Simba aisee hana nguvu mchecheto muda wote msimu ukiisha arudi alipotoka tu
  8. M

    FT: Simba 2-0 Mtibwa | NBC Premier League | Chamazi Stadium 03.05.2024

    Yani Simba kijitu kifupi kinapiga kichwa watu wote wanamuangalia tu *****
  9. M

    Tusimlaumu Kennedy Juma bali tunapaswa kuwalumu viongozi wa Simba Sc kwa kutowapa posho wachezaji tegemezi na kusababisha mgomo ndani ya kikosi

    Huyu Kennedy kuna mtu anakula nae ni mchezaji wa kiwango cha majimaji sio Simba. Cha ajabu ana msimu wa sita Simba na hachezi na wala hajawahi kutaka kuondoka. Muda umefika sasa wa kufumua madudu yote
  10. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Washakula chuma Forest
  11. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Fanya kweli mwanangu
  12. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Acha kutuma picha za kisenge
  13. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yes nakuunga mkono hiyo picha haifai
  14. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Pole sana Mzee baba mipira inauma sana basi tu watu hawajui
Back
Top Bottom