Jamani kama Kuna mtu amemuelewa huyu mlevi anisaidie mbona naona majina ya watu sio majina ya majimbo mfano Jimbo la mwabukusi linapatikana mkoa gani ?
Nikikumbuka maneno ya mbunge huyo wa Jimbo la Bunda vijijini alisikika akisema kama angeweza angefuta boom vyuoni, kwa kuwa alikuwa akiishauri serikali maana yake ushauri wake umepokelewa.
Kama haukupokelewa ni kwa Nini hadi nukta hii bodi imeshindwa kutoa boom kwa wanafunzi wa vyuo, mbona kama...
Hili la kugombania mademu ndo lililomnyima jamaa Mmoja wa Bunda usingizi na kuamua kuropoka habari za boom wakati Moja ya majimbo masikani ni Jimbo la Bunda vijijini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.