Recent content by Molleli

  1. Molleli

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nikweli kwamba nchi hii wasanii wote ni CCM? Ni kweli kwamba Simba Yanga na Azam ni CCM? Au wanaenda kwa sababu ya njaa ya mkate? Hii ni ajabu

    Nikikumbuka kuwa mimi ni mtanzania uwa najiskia kulia kusema kweli.
  2. Molleli

    JamiiForums Tanzania Wakuu msaada wa Ngoma nzuri ya kujifariji na kumsimanga Ex

    2pac... Hit em Up
  3. Molleli

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wafanyakazi wanapenda kutoa 'last seen' za WhatsApp na kubaki jina pekee?

    Kuna kitu ulitaka kusema mkuu
  4. Molleli

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wafanyakazi wanapenda kutoa 'last seen' za WhatsApp na kubaki jina pekee?

    Naombeni majibu wandewa. Kuna mmoja aliniambia wanafanya hivyo kwasababu ma boss wao huwa wanawasumbua. Je, kuna ukweli kwenye hili?
  5. Molleli

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    🤣🤣🤣🤣
  6. Molleli

    JamiiForums Tanzania Ni nani atusaidie Tanzania Kama Taifa katika Matamasha?

    Bora ata sikwenda maana sijui ningefanyaje kupunguza machungu bora ata club unaeza kusepa na mrembo 🤣🤣🤣🤣
  7. Molleli

    JamiiForums Tanzania DAR iko overrated, Majority ya watu wanaishi maisha ya ovyo sana

    Acha ujinga wewe alafu usikute unakaa kwenu apa dar kazi kujifanya unachambua maisha ya watu wakati inajulikana kabisa wa tz wote tunaishi chini ya dola moja kwaiyo ata uko Mikoani ni kama dar tu maisha ya wengi wao🤣🤣
  8. Molleli

    JamiiForums Tanzania DAR iko overrated, Majority ya watu wanaishi maisha ya ovyo sana

    Yani Kuna watu ni machozi ndugu yangu yeye kama maisha dar yamemshinda c arudi kijijini kwao uko
  9. Molleli

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

    Ivi Aya maswala ya kupongeza mbona yamekua mengi Sana Ina Maana watangulizi wa mama hakuna walichokifanya au ndo imekua Wimbo kila raisi alieko madarakani atakua anapongezwa tu!? Mbona sijawahi kuskia wakenya Wanaenda Nairobi kutoka Mikoani eti kumpongeza rais!!!
  10. Molleli

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kiume

    Tapeli wewe
  11. Molleli

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa taarifa ya ajali iliyotokea Kisutu mnamo majira ya saa 05:45

    Asante na ndo nilitaka kuuliza pia
  12. Molleli

    JamiiForums Tanzania Mbeya Jiji barabara zimewashinda hata usafi umewashinda?

    Mbeya kwa upande wa miundombinu ni sifuri ndugu zangu ukweli ndo huu wacha tu useme.
Back
Top Bottom