Recent content by Molleli

  1. Molleli

    Kwanini baadhi ya wafanyakazi wanapenda kutoa 'last seen' za WhatsApp na kubaki jina pekee?

    Naombeni majibu wandewa. Kuna mmoja aliniambia wanafanya hivyo kwasababu ma boss wao huwa wanawasumbua. Je, kuna ukweli kwenye hili?
  2. Molleli

    Ni nani atusaidie Tanzania Kama Taifa katika Matamasha?

    Bora ata sikwenda maana sijui ningefanyaje kupunguza machungu bora ata club unaeza kusepa na mrembo 🤣🤣🤣🤣
  3. Molleli

    DAR iko overrated, Majority ya watu wanaishi maisha ya ovyo sana

    Acha ujinga wewe alafu usikute unakaa kwenu apa dar kazi kujifanya unachambua maisha ya watu wakati inajulikana kabisa wa tz wote tunaishi chini ya dola moja kwaiyo ata uko Mikoani ni kama dar tu maisha ya wengi wao🤣🤣
  4. Molleli

    DAR iko overrated, Majority ya watu wanaishi maisha ya ovyo sana

    Yani Kuna watu ni machozi ndugu yangu yeye kama maisha dar yamemshinda c arudi kijijini kwao uko
  5. Molleli

    Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

    Ivi Aya maswala ya kupongeza mbona yamekua mengi Sana Ina Maana watangulizi wa mama hakuna walichokifanya au ndo imekua Wimbo kila raisi alieko madarakani atakua anapongezwa tu!? Mbona sijawahi kuskia wakenya Wanaenda Nairobi kutoka Mikoani eti kumpongeza rais!!!
  6. Molleli

    Natafuta rafiki wa kiume

    Tapeli wewe
  7. Molleli

    Mbeya Jiji barabara zimewashinda hata usafi umewashinda?

    Mbeya kwa upande wa miundombinu ni sifuri ndugu zangu ukweli ndo huu wacha tu useme.
Back
Top Bottom