Acha ujinga wewe alafu usikute unakaa kwenu apa dar kazi kujifanya unachambua maisha ya watu wakati inajulikana kabisa wa tz wote tunaishi chini ya dola moja kwaiyo ata uko Mikoani ni kama dar tu maisha ya wengi wao🤣🤣
Ivi Aya maswala ya kupongeza mbona yamekua mengi Sana Ina Maana watangulizi wa mama hakuna walichokifanya au ndo imekua Wimbo kila raisi alieko madarakani atakua anapongezwa tu!? Mbona sijawahi kuskia wakenya Wanaenda Nairobi kutoka Mikoani eti kumpongeza rais!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.