Recent content by Molembe

  1. M

    Kesi ya madai

    Nani alivunja mkataba Kati yake na wewe? Baada ya wewe kutoka kwenye hicho chumba alikipangisha?
  2. M

    Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Uliza hapo shuleni kwenu graduate, diploma au certificate anayeanza kazi ambae hajapanda daraja analipwa shilingi ngapi?
  3. M

    Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Ng'ombe wa maziwa hauzwi laki 4 ni kuanzia mil 4 kwa ng'ombe mmoja Ng'ombe wa kutoa lt 10 huyo sio ng'ombe, ng'ombe wa maziwa anatakiwa kutoa angalau lt 15 . Mimi ninao watatu 3 aina ya Ayrshire, wanatoa lt 48 kwa siku, nauza Lt 45. 45×1600=72,000 kwa siku 30×72,000= 2,160,000/-
  4. M

    Je, ni umri gani sahihi wa mwanaume kuoa?

    Kuanzia miaka 18, binafsi nilioa nina miaka 20 mtoto wangu wa kwanza yupo chuo naona raha sana. Nikitembea nae watu wanajua mdogo wangu.
  5. M

    Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Ng'ombe wa maziwa hauzwi laki 4 ni kuanzia mil 4 kwa ng'ombe mmoja.
  6. M

    Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Nyie mnaofugia huko mjini mnapata hasara maana kila kitu mnanunua, sisi huku vijijini nyasi ni za bure ni madawa tu.
  7. M

    Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Ufugaji unalipa sana na wenzetu wakenya wameuchukulia serious sana, mtu mwenye ng'ombe 2 bora wa maziwa anaishi vizuri sana kuliko hata mwajiriwa. Sasa hivi bei ya maziwa imepanda sana na mahitaji ni makubwa na ukiwa na ng'ombe husumbuki hata kutafuta wateja wa maziwa.
  8. M

    Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Ukipata ng'ombe wa maziwa anayetoa Lita 20 kwa siku unakuwa unapata 20×1500= 30000 kwa siku, kwa mwezi ni 900,000/- ukitoa matumizi ya ng'ombe laki 3 unabakiza laki 6. Mwajiriwa mwenye degree analipwa laki 6, Maisha ni kuchagua.
  9. M

    PostGE2025 Mbunge John Nzilanyingi: D9 hakuna maandamano Mwanza tunakula bata

    Mabeberu ndo yanateka watu Mabeberu yanafanya chaguzi za chama kimoja. Mabeberu yaliua watu tarehe 29. Mabeberu hayaajiri vijana. Mabeberu yanabambikizia wapinzani kesi Mabeberu yalifunga makanisa ya Gwajima. Mabeberu hayataki kukosolewa.
  10. M

    Nani aliyemlisha Lissu matango pori eti kesi yake inafuatiliwa na Rais?

    Kesi serious halafu waanze kupiga dana dana.
  11. M

    Kuna kitu hakipo sawa kwa watanzania inatubidi tukifikirie na tukichukulie hatua

    Ngamia alikuwa mnyama mpole na mpenda haki huko nyuma, ila huyu wa Sasa ameanza kuharibu mazao yetu ambayo tumeyapanda wenyewe, Sasa tutampendaje?
  12. M

    PreGE2025 Serikali yalifutia usajili Kanisa la Askofu Gwajima kwa kuingilia masuala ya siasa kwa nia ya kuichonganisha Serikali na Wananchi

    Watu kutekwa na kupotezwa ni masuala ya kisiasa? Yaani maisha ya watu ni siasa?
  13. M

    Safari ya kutoka Dar kwenda Butiama Kwa usafiri wa basi

    Karibu Butiama, karibu mkoa wa Mara, kuja huku unaweza kuondoka na basi asubuhi au mchana, utatumia masaa 20 mpaka 22 kufika Butiama
Back
Top Bottom