watu wamezowea wakitaka kununua gari ilo kuwa sio toyota waulize spare tatizo sio spare maana hununui gari mbovu ila toyota ni gari mbovu ndio maana spare nyingi kila mara ina haribika kwa kibiashara mwenye duka ndio ataweka spare za toyota kwa wingi anajua ndio zinazo nunuliwa sana hizo gari...
huyo anaesema nissan sio kampuni kubwa kwa kigezo kipi maana wana magari mingi sana mabasi zamizigo ndogo za kifahari sijui katumia kanuni ipi au kwa kuwa tanzania hazipo nyingi ndio anaona ndogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.