Shida Sana mkuu, hii inssu haiusiani na kukashifu makabila ila kuna baadhi ya jamii zenye asili ya mikoa kadhaa hapa nchini wanasifika kwa tabia za namna hii including me[emoji23]
Of course mapenzi huwa yana ambatana na pesa kidogo.. ushahidi wa ilo kwenye vitabu vitakatifu tunafahamishwa kuwa ili uwe tayari kuwa na mwenzako inatakiwa uwe na uwezo wa kumtoshereza ilo la kwanza lakini pia tumeshauliwa kuwa na wanawake wenye Dini ndani Yao hiyo itatusaidia katika zile...
Huu uzi unatugawa makundi makundi hivyo usitake kuaminisha watu wa kundi BA haliyakuwa ww ni kundi A...kundi A ni wale ambao kwa kipindi hiki wapo kileleni na kundi BA wapo kwenye sintofahamu zote ni hali ambazo kila mmoja anasema anachopitia so ww kama unateseka mkuu just relax time ya...
Naomba kujua kitu hivi... Hizi kelo mbali mbali ambazo zipo tupo nazo kwenye maeneo tofauti tofauti katika jamii zetu imetokea tuuy tumejikuta tupo huku au ni vitu vilianzishwa hali ya kuwa mamlaka zilishaweka utaratibu na sheria zake?
Yuko Sawa bongo kuwa na pesa alafu ukawa hujui cha kufanya kawaida na sababu kubwa ni kwamba kile chanzo cha awali unakiona kuwa hakina thamani Tena kijana wa 26 hatakama ulikuwa kwenye ajira inamaana huna Hata mshikaji mpambanaji? Jibu linakuja unataka kipya hapo ndo mtu anapokosa cha kufanya...
Safi kama suluhu imepatikana maana sio vyema kuwa Na kinyongo na jirani maana jirani ndo ndugu wa kwanza pale unapo pata matatizo hivyo ni good news [emoji4]
Swali: sheria zinasemaje kwa mtu anaekuja kujenga gholofa pahali ambapo kuna nyumba za chini?
Kama kuna jambo ambalo Lina vunja sheria baina yako na yake basi mueleweshe akigoma ndo ufuate utaratibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.