Recent content by Mohamed Abubakar

  1. M

    Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Kila rangi ya mwanadamu inapokuwa nyeusi zaidi (ubantu) ndivyo uwezo wake wa kufikiri unazidi kupungua.. Lkn dawa ya yote haya ni kuwa ma mfumo wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe.. Lkn tujiulize, iwapo wabantu wanajitambua kuwa ndio watanganyika halisi...
  2. M

    Mwenye connection ya kazi katika mashirika binafsi naomba anisaidie kupata kazi katika mashirika hayo

    Ushauri wa Bure!. Rudi kijijini kwenu anzisha tuisheni ya english. Mwenyewe utajua zaidi kadiri utavyofundisha. Kama hunielewi njoo inbox. Uje kijijini kwangu. Pia jiandae na kilimo kitakachokutoa zaidi ya mil 3 miezi matatu ijayo kuanzia sasa
  3. M

    Kwanini Tafsiri za Qur’an Huchomwa moto Badala ya Kujadiliwa?

    Chanzo cha Mauwaji wa Mwembechai ni Mapadre kukimbilia kwa waumini wao ambao ni watendaji wa Serikali na kushinikiza kutumia bunduki kufunika kile ambacho hawawezi kukipinga kwa mantiki baada ya Waislam kutoa shahri ( ufafanuzi na maana ya ayah) za Biblia. Mapadre kutumia bunduki hakionyeshi...
  4. M

    Quran inawezaje kushindwa hesabu ndogo Kama hii?

    Hivi unajua kusoma? Usikurupuke.....! Haiwezekani marehemu kaacha 1,000,000 halafu kila Mrithi apate zaidi ya mil 1. Wakati mwengine tumia Grok Ai au gtp. Kwa kukusaidia pitia hapa. Hebu tuangalie jinsi mgawanyo utakavyofanyika: 1. Wahusika wa Urithi na Sehemu Zao za Hisa Kwa mujibu wa...
  5. M

    KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

    Sijausoma hata ujumbe wenyewe. Kichwa cha habari tu kinatosheleza. Nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria na au desturi. Moja ya haki ya kidemokrasia ni desturi ya wengi ktk eneo fulani la utawala, mf mtaa, kitongoji, kata na kuendelea ambapo jamii ya wengi ktk eneo hilo hutunga Sheria...
  6. M

    Hakuna Mungu, ila kuna nguvu ya asili ambayo haina ukomo wala mwanzo

    Kuruka na kushuka si gravity bali ni athari ya gravity. Gravity haionekani. Ni kama umeme, hauonekani. Lkn ikifunguliwa socketi unaogopa kuweka kidole ingawa hujui na huoni iwapo umeme upo au laa. Bali unaweza kujua nguvu ya umeme iwapo utawala taa, feni nk. Kama hujui asili ya gravity inapaswa...
  7. M

    Hakuna Mungu, ila kuna nguvu ya asili ambayo haina ukomo wala mwanzo

    Unaweza thibitisha kwa mfano wa gravity. Je ipo Nini chanzo Na je kweli ipo
  8. M

    Hakuna Mungu, ila kuna nguvu ya asili ambayo haina ukomo wala mwanzo

    Bila ya shaka kutakuwa na chanzo kisicho na chanzo. Fikiria kwa kurudi nyuma kutafuta chanzo 1mil times. Jiulize na hiyo infinity chanzo ni nini.
  9. M

    Hakuna Mungu, ila kuna nguvu ya asili ambayo haina ukomo wala mwanzo

    Kwa mujibu wa imani ya Kiislamu inamwelezea Mwenyezi Mungu kuwa ni mkamilifu na asiye na mipaka na nafasi au wakati. Kwa hiyo, dhana ya Mwenyezi Mungu kuhitaji chanzo haiendani na sifa zake za ukamilifu na kujitosheleza. Na iwapo kila kitu katika ulimwengu kina sababu au chanzo, basi sababu...
  10. M

    Hakuna Mungu, ila kuna nguvu ya asili ambayo haina ukomo wala mwanzo

    N nani kasema kila kitu kina chanzo. Hata weye hukubaliani na hoja hiyo bila ya shaka. Mungu wa pekee ni infinity
  11. M

    Hakuna Mungu, ila kuna nguvu ya asili ambayo haina ukomo wala mwanzo

    Dunia ina miungu mingi hata hivyo kuna Mungu mkuu. Eloi au Allah. Mwenyezi Mungu ni uwezo wenye kuweza usiowezwa. Ni muunganiko wa nguvu usio na chanzo. Allah "Eloi" is considered to be the one and only God, the source of all existence, and not derived from any other source according to...
  12. M

    Nikiwa Rais nitabadilisha jina la fedha kutoka Shillingi na kuitwa Tanzanite

    Nikiwa Rais tutabadili jina la nchi na kuwa United Tanzania State. Hii ina maana wale wote wanaoidai United Republic of Tanzania wataendelea kuidai URT. Sisi UTS hatutohusika. Pia serikali mpya ya UTS inafanya mikataba upya na Wawekezaji wa Migodo kwa ajili ya Maslahi wa watu wake. Tunapenda...
  13. M

    Tuna uhakika kuwa eMALALAMIKO si avantra?

    Nauliza hivi nikitaka ufafanuzi iwapo kuna yyt aliyewahi kutumia emamamiko kupata mrejesho wowote. Nani ni msimamizi wa mtandao huu. Nani kawahi kupata mrejesho kutokana na malalamiko na kero za ufanisi wa watendaji wa Serikali. Na mwisho baada ya kutoa malalamiko nimemtumia ujumbe ule ule...
Back
Top Bottom