Recent content by Mogabiri

  1. M

    Kiongozi Mwenye Fikra Mgando

    Sitta: Kilichomkuta Jaji Warioba Jana Amejitakia Mwenyewe Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe. Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora...
  2. M

    Prof Muhongo awadhulumu wafanyakazi TPDC haki ya kugombea nafasi ya Ukurugenzi Mkuu

    Mh!!!!!!!!!!! Hata uwe na PHD.............tumbo kwanza mengine baadae Kwani huoni sikuhizi viongozi wengi mashati hayawatoshi,tumbo mbele kama wajawazito
  3. M

    Ushauri juu ya Swala hili Tafadhali

    Ha ha ha haaaa!!!! Sikucheki kwa sabab ya kinachokutokea mchana kweupeeeee!!!! Hivi unaoa familia au unaoa mtu atakayekupa amani ndani ya nyumba? Usiwe na mawazo mgando, coz maamuzi yako ya sasa ndiyo yatakayoiongoza familia na kuendeleza uzao wako kwa zaidi ya miaka 100, ukitoa maamuzi ya hovyo...
  4. M

    Siku ya pili katika mahusiano ameanza kupiga mizinga

    Mie nadhani jibu umelipata siku ileile ulipopata sms, hawa mademu wa siku hizi usipokuwa mjanja utashangaa hauna maendeleo yeyote, huku ww ukiuza sura na gari mjini yeye anajenga..............
  5. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    Kama ww adui yako ni ccm, kabla haujaanzisha hicho chama ulifanya utafiti wa kutosha ukaona wa-Tanzania tunataka vyama kuwa lukuki? Mie nadhani upinzani wa kweli ni kuunganisha nguvu (kuwa wamoja) ili kufikia malengo ya kushika dola, ulichokifanya ni unafiki wa kuwalaghai watanzania.
  6. M

    CCM Yamchagua Sitta kuwa mgombea pekee

    Huyu jamaa nadhani huyu jamaa anaejiita Chama, anakurupuka kuongea vitu ambavyo hana uhakika navyo. Ningependa kumkumbusha tu kwamba, wale wajumbe waliotaka kuongezewa posho wao wenyewe walitishia kuwa bila posho kupanda, hawata-support mapendekezo ya serikali mbili! Je, Serikali mbili ni chama...
  7. M

    Mkapa alia na serikali mbili (2)

    Tunataka U-Taganyika wetu ujulikane rasmi, na siyo ubaki ndani ya nafsi na kwenye vitabu vya ki-historia, Muungano ulikuwa ni wa nchi mbili (Tanganyika na Zanzibar), Wa-Tanganyika tukakubali kuukana U-Tanganyika na kujiita wa-Tanzania lakini wenzetu wameungángánia U-zanzibari mpaka hii leo...
Back
Top Bottom