Recent content by mofa

  1. mofa

    Hivi aliyeruhusu wanafunzi wa sekondari kuvaa hijabu alijua madhara yake?

    Hivi hijabu ikivaliwa, kwani ndani yake kuna uniform kama waliovaa wengine? Sidhani kama wanavaa uniform mana si inafunikwa na hilo hijabu? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mofa

    Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aaron Mbogho amepata alichostahili

    Mkuu umenena mana kule chamani kulindana kwingi. Huyo mnyama mbogho inainekana mbuzi wa kafara Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mofa

    Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

    Mkuu mbona unacheka? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mofa

    Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

    Wewe utakua kibajaji tu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mofa

    Ulishawahi kutoka kimapenzi na rafiki wa mpenzi wako?

    Ukiboa mhimu tukwambie mkuu. Itakusaidia mbele ya safari. Punguza povu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mofa

    Ulishawahi kutoka kimapenzi na rafiki wa mpenzi wako?

    Wewe kinachokuwasha ni nini mkuu si uanzishe uzi na wewe? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mofa

    Kupokea Ndege kufanywa ni tukio la kitaifa ni ushamba, tunachoreshana..

    Kama vile kuna kaukweli vile Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mofa

    Kupokea Ndege kufanywa ni tukio la kitaifa ni ushamba, tunachoreshana..

    Wafanye nin kina nani? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mofa

    Harakati za kuunga mkono juhudi za kikokotoo zahamia Mbeya

    Hii taarifa imetolewa na mamlaka gani Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mofa

    Kwako Tundu Lissu, bwenini Gasthuisberg, Leuven, Ubelgiji

    Mleta mada una dharau na mbinafsi kwasababu Lisu ni mheshimiwa mbunge lakini through out umekuwa ukiita ndugu... Kwaio kwanza jifunze kuwa na heshima unapojadili mambo ya mheshimiwa yeyote wakiwepo wa chama chako. Ndio mana unajiita chakubanga, ndo alompiga mkoloni hakuwa na adabu. Sent using...
  11. mofa

    Morogoro: Kiwanda cha 21st Century kinaungua moto muda huu

    Watakua wanapiga zoezi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mofa

    Ikulu Yahojiwa weledi wake kwenye masuala ya faragha

    Mbele ya jiwe hakuna anaeweza kukataa ukizingatia kwake ni sifa kutokea font fed Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mofa

    Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

    Mkuu mpaka umenena kilugha basi umekunwa sana
Back
Top Bottom