Recent content by Modestproposal

  1. M

    Kwanini Mkutano Mkuu wa CCM Taifa Ulijadili Jina la Mgombea Urais Bila Agenda Rasmi kutoka Kamati Kuu na Halmashauri Kuu za CCM!

    Ccm ilishatoka huko kwenye sijui demokrasia Wala haiponhuko! Sasahivi ni mwenye nguvu atatawala.Kikwete alimaliza kwa kusema 'kuhusu mgombea ndo tumeshasema"
  2. M

    Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

    Walichukuliwa TU hawajui chochote! Kwanini hawakukataa kuwa wabunge? Ila ccm akili Huwa mzazifichaga wapi?
  3. M

    Hayati Magufuli alichukizwa sana na waliotaka abadili katiba ajiongezee muda ndio maana Ally Kessy hakurudi Bungeni

    Kwa hoja hiyo Magufuli alikuwa anaamua nani arudi bungeni! Mtu wa aina hiyo angeshindwa nini kubadili katiba?
  4. M

    Mambo ambayo mwanaume wa thamani hatakiwi kuyafanya kamwe

    Huyo ni mwanaume au malaika?mwanaume kamili lazima ajaribu mambo hayo yote ili aone ubaya wake.ntajuaje pombe nimbaya kama sijawahi kulala na viatu...wewe vp
  5. M

    Kigwangalla: Serikali haiwezi kukuletea mabadiliko kwenye maisha yako, kuilaumu ni kupoteza muda tu

    Sijui kama anajua alipata courage ya kuacha kazi baada ya kupata mtaji kutokana na kazi aliyoiacha? Sijui kama anajua Kuna watu wanatamani kupata walau kibarua ili apate mtaji wa kujiajiri na Bado mazingira ni magumu! Kwa ufupi aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa!
  6. M

    Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

    Halafu jambo la kipumbavu likitamkwa kwa kizungu linaonekana la maana Sana sijui kwanini!
  7. M

    Ukweli mchungu: Kombe la Mapinduzi ni mashindano ya kutoa fursa kwa wachezaji wanaochipukia

    Ila APR wanacheza kwa kujiamini aisee tuache masihara.niliona Lomalisa akigandisha mpira mguuni kumbe vijama vinamchora tu[emoji23][emoji23]
  8. M

    After sex, what's next? May be it can help to someone out there

    Yes,a woman who will back up me when I'm broke not a woman who will mock me,a woman whom I can travel and believe my house is safe not a woman who will turn my home a catastrophy.A woman who is able to tell her mother that my husband has no money not a woman who will steal my money for the sake...
  9. M

    Yericko Nyerere ana point kuhusu Kamati ya Hamasa ya AFCON, asikilizwe

    Wanataka watuhamasishe tujitokeze vibanda umiza SI unajua tutakaposhangilia watakuwa wanasikia huko ivory coast
  10. M

    Kilichofanywa na Ali Salim dhidi ya Che Malone ni ushamba na ujinga

    Kwani hawakuona wanapongezana mara tu baada ya kuokoa shambulizi hatari Sana.kawaida Sana Ile...ila du nikama kaibu kumsukuma mtu mzima vile
  11. M

    Je, kwanini MO huonekana tu pale timu ikishinda?

    Hata wewe hupiga picha siku umependeza,hakuna jipya hapo.
  12. M

    Hivi inawezekanaje mtu huna kazi bado unasoma Master's Degree?

    Kusoma master's degree wakati huna kazi Wala biashara ni uoga wa maisha tu wala hakuna kingine.Confucius aliwahi kuulizwa ; watu wameongezeka Sana nchini( china) serikali iwafanyie nini? Confucius akajibu,enrich them! Wakamuuliza baada ya kuwapa mali akajibu educate them,wakamuliza what next...
  13. M

    Huwa mnaishi vipi na watu wanaokuomba hela kila mnapokutana?

    Shida ni kwamba ukikwama hakuna atakaekupa pesa.Na tena hawataamini huna.kuna siku niliomba elfu kimi tena ya kukopa jamaa alinizungusha Hadi nikamtumia sms kuwa aisee usitume nishapata .ndo nayeye akaanza kusema samahani bro nilikuwa na kazi hapa nilitaka nikimaliza nikutumie.binafsi sipendi...
  14. M

    Ushauri: Nataka kuoa Burundi

    Sasa huko warundi wametoka wapi mzee..warundi wako huko Manyovu Kigoma,eneo mmoja la Munanila.sema wanamaisha magumu Sana yani ukitaka mbususu unajichagulia tu.Ila wanahasira sana.niliwahi kuwa na mmoja ukimuudhi haongei hata siku nzima.
  15. M

    Kisa kifupi cha kusisimua kilichonikuta wakati naishi Temeke

    Aisee Mimi nimeipenda hii" public air"[emoji1787][emoji1787]ila wabongo
Back
Top Bottom