Recent content by Modestjohn

  1. M

    Fekon, haojue, honda, sanya, blast ipi inafaa

    Kaka nakushauri uchukue HONDA ni pkpk nzuri sana mkuu haiharibiki ovyo ovyo na ulaji wa mafuta ni kidogo
  2. M

    Ukweli kuhusu Jacqueline Ntuyabaliwe

    Muda haukusubiri nenda na ndoto zako ,ishi na ndoto zako
  3. M

    Jipatie simu mpya

    Kaka habari na I phone 6 plus sh ngap
  4. M

    CMG bhana...yaani Msiba wa Ruge ulikuwa wa Kampuni ila Msiba wa Kibonde ni wa Familia yake..acheni Unafiki!

    Moja kati ya watangazaji wazuri sana mr kibonde pumzika kwa aman kaka
  5. M

    Kwanini watu wananiogopa sana?

    Nakushauri uendelee hivyo hivyo kaka ukimya wako ni mzuri sana usitake sana mazoea na watu hiyo ni kinga yako tosha mtu asikuzoee kijinga tu
  6. M

    Kwenu Wanaume: Vitu vichache wanavyoangalia Wanawake kabla hajaruhusu umuoe ama kujenga uchumba wa kudumu

    Mahusiano au maisha ya ndoa nayafananisha na soka,soka unaingia uwanjan unacheza lakin kila mmoja anacheza fomeshen yake sawa na mahusiano tu ukiwa na upendo sana ulienae anaona hauon huo upendo anataka zaid au upendo wake upo kwa mwingine
  7. M

    Pamoja na mziki wao kuwa tofauti je kati ya Michael Jackson na Bob Marley nani alikubalika zaidi ulimwenguni

    Huwez kulinganisha miziki ya pop na reggae ni aina ya miziki tofauti mlinganishe reggae kwa reggae au pop kwa pop kisha ndo useme nan zaid
  8. M

    Huyu mwanamke sijui amepagawa au ni aina ya matapeli wa Dar?

    Pole sana kak mwenyez mungu aliwaita HAWA
Back
Top Bottom