Recent content by mochware

  1. M

    Lipumba: Inakuaje Syria wanapigana vita lakini wanatuzidi kwa furaha?

    hahahahaaaaaaaaaa, kulala ofisini, kwani yeye ni karatasi, hahahaaaaaaaaa.
  2. M

    Magari, pikipiki yang'olewa matairi. Ni katika kutekeleza agizo la Rais Magufuli

    waambie hao, tena nilitamani mkuu aseme tung'oe na steering.
  3. M

    IGP angalia huu uonevu wa Askari wa Usalama Barabarani

    Kalipe faini, acha kulalamika, sekunde tano hata huyo wa kwanza asingetoka, IGP ana akili timamu, anajua maana ya sekunde tano.
  4. M

    Uchaguzi mdogo haukuwa kipimo cha kukubalika au la kwa Serikali ya Rais Magufuli

    Kwa hiyo tumpime kwa kitu gani? au tumpeleke kwenye mizani ya barabarani tukampime? Anakubalika ila wewe humpendi.
  5. M

    Wizara ya kazi ajira na vijana yatangaza nafasi 1000 za mafunzo ya ufundi wa viatu

    Nani atawaajiri !!, nyie fanyeni upuuzi tu, tutakapozuia mitumba ndo mtatia akili.
  6. M

    Kufunga jela viongozi wa Upinzani ni maagizo iliyopewa mahakama ya Tanzania ?

    Hakimu wa Uingereza na India wanafanana na wa Tanzania, itakuwa wa Kilombero na Lindi, soma sheria uwe huru duniani.
  7. M

    Mkoa wa Kilimanjaro watangaza rasmi kuwa na uhaba mkubwa wa Chakula

    Tani 40! yaani semitrailer moja?
  8. M

    UKAWA na ACT Wazalendo kwanini mlisusa na sasa mwala?

    Ni vizuri wamegundua walipojikwaa
  9. M

    Tetesi: Mkoa wa Mara kugawanywa

    Ingegawanywa Morogoro
  10. M

    Zile Millioni 50 kila Kijiji na laptop kila Mwalimu, kulikoni?

    Kwani waliahidi kuzitoa lini? au wameshatoka madarakani? it is just a matter of time
Back
Top Bottom