Recent content by MOABU

  1. M

    TUCTA kujadili kima cha chini cha mshahara 2019

    hakuna kitu kibaya katika maisha ya sasa kama kumdanganya mfanyakazi wa umma.TUCTA nyie pamoja na viongozi wenu mmekaa kimya 4years bila kuwa na proper reasoning na justification ya kwenda kwa mheshimiwa Rais ili aweze kuwapandisha madaraja wafanyakazi wake achana na ile general increament mie...
  2. M

    Nasari amkumbusha Ndugai Ndafu aliyompatia kwenye Harusi yake

    huku kuna habari za Joshua Nassari zimechanganyika na habari za miradi mbalimbali ya maendeleo yani alieleta huu uzi sijui huwa anafikiria kwa kutumia kiungo gani cha mwili.
  3. M

    Misri yawaonya Hamas kuacha kuichokoza Israel, yatayowakuta haitawasaidia

    ANDIKA KWA KISWAHILI ILI HATA DAB AWEZE KUCHANGIA AISEE
  4. M

    Baadhi ya nyimbo za WASAFI zapigwa marufuku, Diamond ashutumiwa kutolipa kodi anapofanya kazi Kenya

    kuna ile nyimbo yao wanasema NALEGEAAAAAAAAAAAAAAAAAA IKIGUSANA YANGU NA YAKO
  5. M

    Mahakama Kuu yamtambua Prof. Lipumba kama Mwenyekiti halali wa CUF

    Duu.If you want to run mad, join east african politics.
  6. M

    Pitot tube huenda ndiyo iliyosababisha ajali nyingine ya ndege

    Duu hapa shuzi limepata mjambaji.mie mtu wa Business Law naendaje kuchangia uzi wa pitot kitobu?
  7. M

    Boeing 737 Max: Kampuni inayotengeneza ndege hizo imesitisha matumizi ya ndege za 737 Max 8 na 9

    achana na hizo porojo wewe.Watanzania tutembee kifua mbele tena tukiwa kifua wazi tuko kwenye raiti tiraki
  8. M

    Je, ni kweli huyu dada kavaa Sare za Jeshi la Tanzania za mkuu Brg Grn CD Katenga?

    NAONA HAPA MHESHIMIWA BRIGEDIA GENERALI ANAENDA KUIPOTEZA KAZI YAKE HARAKA SANA BILA HATA KUITWA KWENYE KAMATI YA MAADILI YA JESHI ILI AWEZE KUHOJIWA KWAMBA WHAT HAPENED AND WHY DISCIPLINRY MEASURES SHOULD NOT BE INSTITUTED AGAINST HIM.
  9. M

    Natafuta chumba mitaa ya survey

    njoo inbobo nina appartment pale karibu na Bulls park
  10. M

    Ushauri wangu kwa watengenezaji wa ndege za abiria

    mara paap unavaa parachuti unaruka vizuriiiiiiiiiiiiiiii sasa janga lake unashangaa umetua juu ya nyaya za umeme khaa
  11. M

    VP Samia Suluhu kumuwakilisha Rais Magufuli kwenye mkutano Uganda

    n NIMEFURAHI MPAKA NAKOJOA AISEE
  12. M

    Rais wa Rwanda, Paul Kagame kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania

    NIMECHEKA MPAKA NAKARIBIA KUKOJOA.YANI HUYU FELIX TSHEKEDI ALIEEKWA PALE NA UBELGIJI KINYUME NA KANISA KATOLIKI LILILOKUWA LINAMTAKA MPENDWA WAO MARTIN FAYULU, ANATAKA AJE NA HUKU KWETU.NA SOMALIA ILE YA AKINA AL SHABABU AISEEE MBONA HII EAC ITAGEUKA KUTOKA KUWA JUMUIYA MPAKA KUWA KILINGE CHA...
  13. M

    IGP Sirro: Nitachukua hatua ndani ya siku tatu kutekwa kwa MO Dewji

    where were he? alikuwa anasubiri JPM aseme? Aisee JPM tumbua hii safu kuanza upya sio ujinga.
Back
Top Bottom