hakuna kitu kibaya katika maisha ya sasa kama kumdanganya mfanyakazi wa umma.TUCTA nyie pamoja na viongozi wenu mmekaa kimya 4years bila kuwa na proper reasoning na justification ya kwenda kwa mheshimiwa Rais ili aweze kuwapandisha madaraja wafanyakazi wake achana na ile general increament mie...
huku kuna habari za Joshua Nassari zimechanganyika na habari za miradi mbalimbali ya maendeleo yani alieleta huu uzi sijui huwa anafikiria kwa kutumia kiungo gani cha mwili.
NAONA HAPA MHESHIMIWA BRIGEDIA GENERALI ANAENDA KUIPOTEZA KAZI YAKE HARAKA SANA BILA HATA KUITWA KWENYE KAMATI YA MAADILI YA JESHI ILI AWEZE KUHOJIWA KWAMBA WHAT HAPENED AND WHY DISCIPLINRY MEASURES SHOULD NOT BE INSTITUTED AGAINST HIM.
NIMECHEKA MPAKA NAKARIBIA KUKOJOA.YANI HUYU FELIX TSHEKEDI ALIEEKWA PALE NA UBELGIJI KINYUME NA KANISA KATOLIKI LILILOKUWA LINAMTAKA MPENDWA WAO MARTIN FAYULU, ANATAKA AJE NA HUKU KWETU.NA SOMALIA ILE YA AKINA AL SHABABU AISEEE MBONA HII EAC ITAGEUKA KUTOKA KUWA JUMUIYA MPAKA KUWA KILINGE CHA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.