Recent content by mo29

  1. M

    Wakuu hii Tigana football academy ni ya kuaminika (Dar es salaam)

    academy za mpira ni moja ya uwekezaji mzuri kama ukizingatia misingi ya uwekezaji, zaidi ukilenga soko la nje
  2. M

    KERO TANROADS imeridhia ujenzi huu eneo la barabarani karibu na Ofisi ya DC Ubungo?

    kuna maeneo mengi yanajengwa kiholela, akija kiongozi anayefata sheria utasikia vilio kumbe ni makosa ya wahusika.
  3. M

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    ili kuing'oa ccm tengeneza vijana ingiza kwenye mfumo wa ccm wakishapata nafasi wanafanya mambo kwa maslahi ya nchii. Hii inatakiwa kuwa long term project ni kama USA walivyoisambaratisha Urusi.
  4. M

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    Martin Maranya ni rika moja na Mnyika labda ungesema uongozi utengeneze mkakati wa kuandaa vijana na sio kuwakabidhi madaraka. Vijana wengi waliotengenezwa na Chadema wamerubuniwa na ccm na kupewa uongozi. Ni bora kubaki na kina Mnyika ukijua unabaki na watu wanaokipambania chama.
  5. M

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    Mbowe amekuwepo kwenye uongozi mpaka wamemchoka, Mnyika na Heche ndio wamepokea vijiti kwanini unakimbilia kusema wamezeeka wakati umri walio nao ni sahihi. Kwanini usiwape ushauri ccm ya kna Wassira na Dr Migiro.
  6. M

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Hiyo ni hatua ya kwanza, hatua ya pili ni kudai fidia. Kuna kipindi mkutano ulifanyika Afrika Kusini kuhusu kudai fidia baadhi ya nchi zikavuruga kwa makusudi kuingiza swala la Palestina na Israel kwa sababu ya mitazamo yao ya kidini. Argentina wanajua walichofanya dhidi ya waafrika wana hofu...
  7. M

    Biashara yangu ya mgahawa imenibidi niifunge

    Biashara inahitaji uvumilivu, kaa angalau miezi sita ndio ufikirie kufunga biashara. Kuhusu wafanyakazi wengi wanaokotaokota tafuta angalau mfanyakazi mmoja aliyesomea mambo ya hotel atakusaidia kuanzia ubora wa chakula, lugha ya kuzungumza na wateja na mengineyo.
  8. M

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Afrika Kusini anakabiliwa na kashfa ya Rushwa zabuni ya dola Milioni 21 (Tsh. Bilioni 54)

    Sheria ingekuwa inafanya kazi wakuu wa polisi wetu wangi wangekuwa mahakamani
  9. M

    Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa Msumbiji

    Mwalimu Nyerere alishagundua alifanya kosa kuungana na watu ambao wana ubinafsi lakini hakutaka kurudi nyuma ila kuungana na watu kama hao ni tatizo kubwa.
  10. M

    Mataifa matano Afrika yanapaswa kuilipa Marekani dola 15,000 kwa shabiki mmoja Kombe la Dunia

    kwanini hizo nchi zisisusie kushiriki kombe la Dunia, USA haina athari yoyote katika soka la Dunia wao michezo yao ni BasketBall, Baseball na American Football.
  11. M

    CAS: Tutatoa uamuzi wa rufaa ya Senegal "haraka iwezekanavyo"

    ni mahakama ya juu ya michezo, maamuzi yake hayapingwi na FIFA wala CAF
  12. M

    Yaitishwe maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza Tundu Lissu aachiwe

    Maandamano makubwa nitakayoshiriki ni kuikomboa Tanganyika na kudai katiba mpya, Lissu najua ataachiwa ila bila kupigania mambo ya msingi hizi kesi hazitaisha watakamatwa watu wengine lakini kwa sababu hawana influence kama Lissu wataozea gerezani.
  13. M

    Naomba msaada wa kisheria juu ya kukutwa na kosa la jinai na kupoteza nafasi ya Uongozi

    inategemea na katiba yenu inasemaje ila sehemu nyingine ukipatikana na hatia kosa la jina unapoteza sifa ya uongozi
  14. M

    Wanasheria hawa wanatutia aibu, elimu yetu imeshuka?

    Huyu lazima atakuwa shabiki wa yanga, washabiki wengine wa yanga mnisamehe ila mwambieni anawaaibisha.
  15. M

    Naomba msaada wa ushauri wa kisheria juu ya mgogoro huu wa ardhi

    kama hana hati ilo jiwe limetokea wapi
Back
Top Bottom