Kwanza naomba nitangaze mahaba yangu kwa mbunge wa Arusha wa sasa hivi! Napenda sana aina ya siasa anazozifanya Mh Lema, huwa namfananisha na Steve Biko wa Afrika Kusini
Kwa namna walivyobanwa kwa hoja na UKAWA, jana wamekuja na mbinu mpya kwenye Television, wakati mbunge anachangia hawaoneshi ni wa chama gani wala anatokea jimbo gani!
Kwa jinsi ninavyowaelewa wazanzibari huyo mbunge amejimaliza mwenyewe! Maana anawafanya watu wapumbafu kama yeye alivyompumbafu kulitumikia tumbo lake!
Uzuri watanzania wa sasa tumepata hamasa ya ajabu, wengi tunafuatilia neno kwa neno na sentesi kwa sentesi, mimi nimemsikia jana tena kwa umakini zaidi! Sasa mnakuja hapa kujifariji na kujaza saver tu kwa ujinga wenu wa kujitekenya na kucheka wenyewe! Endeleeni ila mkae mkijua kuwa Serikali ya...
Wananchi wa jimboni kwake ni kama Lissu amewapa limbwata! Hayo uliyoandika wewe ni kama uharo tu! Ushahidi wa hilo ni ushindi wa kishindo wa Serikali za Mitaa! Ongea lingine!
Oktoba itajulikana mbivu na mbichi! Kila mbunge atavuna alichokipanda! Washukuriwe wabunge wote wa UKAWA walioimba bungeni kuwa Serikali ya CCM imechoka!
Mkosamali na kundi lake kutoka UKAWA wakiongozwa na Tundu Lissu, nawapongeza sana kwa namna wanavyoweka unafiki pembeni na kutamka mambo ambayo yanagharimu maisha yao! Ni sisi Watanzania ndiyo tuna vichwa vigumu kuelewa sijui ni nani aliyeturoga! Maana ni wepesi wa kulaumu na kusahau! Tundu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.