Salaam Wakuu.
Heshima kwenu wakubwa.
Thread hii ni mahususi kwa wanufaika wa mkopo wa elimu ya juu ambao kwa namna moja au nyingine mikopo yao imeenda vyuo tofauti na vile ambavyo wanasoma sasa.
Kwa mujibu wa mkataba kati ya mkopaji na mkopeshaji unasema kuwa kuhamisha mkopo unaweza chukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.