Kinachoimaiza hii nchi ni unafiki na kuwaogopa watu kiasi cha kushindwa kuwashauri wanapokosea kwa sababu wanawadhifa fulan au tuna maslahi nao.
Kama Pro. kakosea naye anakosolewa kwa sababu si kwamba alikuwa anaongelea ndani ya fani yake ya sheria. \
Tuache ujinga wa kuogopa majina ya watu...
Tatizo tunataka kuwasifu watu hata wakikosea.
Tunaogopa kuwarekebisha watu wamapokosea ndio maana inafikia watu wameiba, bado wanaambiwa warudishe walichoiba badala ya kuwafikisha mahakamani kisa ni kuogopa wataaibika kwa sababu tunawaogopa.Nawakumbusha tu ya EPA.
tunaipeleka wapi hii...
Kuandama bila kufanya uharibifu ni haki ya mtu yeyote.
Lakini watanzania kinachotuharibu ni ushamba.
Kwa wanaojua sheria, hivi Polis wanatakiwa kuombwa ili kuandamana au wanatakiwa kupewa taarifa kuwa kuna maandamano?
Hao askari wanaotumika kuzuia maandamano kwa ni wasingetumika kulinda...
Huyu Mwenzetu haeleweki.
Hata ukimpa takwimu hataelewa kwa sababu yeye hoja yake si alichoongea Mbatia bali ni Mbatia mwenyewe.
Nafikiri si lazima kila mara mtu afikirie kuleta Maada badala yake ni vizuri wakati mwingine kukaa kimya na kuangalia/kujifunza aina za maada ambazo utapata waungaji...
Naomba nikusahihishe kidogo ndugu yangu.
1995 NCCR iliweka mtu.Alikosa kwa mbinu tu.
Lakini huyu mama 2005 alimtoa jasho marehemu Galinoma ambapo kulikuwa na uwezekano mkubwa wa huyu mama kupata.
Upepo ulivyo,huyu mama anaweza kupata cha maana ni nguvu ielekezwe huko.
Mbona hujajibu yaliyopo nje?Au ni usafiri binafsi watu leo wameamua kutumia COASTER na Malori kama usafiri binafsi?Hilo ndilo tatizo la wapotoshaji,hawapendi kueleza ukweli.
Naomba uniambie ulipokaa nikufuate.
Najua unajua kilichopo uwanjani ndio maana unaamua kubwabwaja tu!
TBCCM hawawezi...
Angalia upande unaotazamana (Kushoto kwa Geti kuu la uwanja) na Jukwaa kuu na upande wa kulia mwa Jukwaa kuu.Kama kweli upouwanjani,utayaonahaya na kama unaangalia TV hutaona.
Hakuna Mapengo?
Umewahiona mikutano ya CHADEMA Mbeya ikiwa na COASTER na malori ya kubebea watu?Mikutano ya CCM haya...
Sidhani kama mtu atakwenda.Labda wafanyakazi wa ofisini kwa Mkurugenzi.
Lakini mimi siwezi kwenda kwa sababu kufika tu uwanjani ni kashfa kwa nafsi yangu.
kesho tutashuhudia Fuso zikiwa zimebeba watu kutoka pande zote za Mbeya wakiwa wamevalia kijani.
CCM wameanza kuchanganyikiwa.Mbeya si mahali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.