Hii ndiyo sababu inayowafanya watu wawaone viongozi maskofu wetu kuonekana kinyume na wasikilizaji,
mimi ni mpenzi na mshabiki wa msimamo wa askofu Gamanywa kwa miaka mingi tokea enzi za msemakweli ninakumbuka vizuri Askfu Gamanywa alikuwa na makala,kimsingi nilimfahamu Askofu wetu kupitia...
nikwamba kamanda ndani ya mchakato wa kumtafta mgombea uenyekiti wa kijiji ccm kwa ccm kuna mgombea ambaye alikuwa anakubalika na wananchi ccm kama kawaida yao wakamwengua wakamweka wakwao yule aliyewekwa na ccm akawa na wapambe ambao wanamuunga mkono wananchi wakakasirika wakaua mmoja na...
Nina wasiwasi na Akili ya huyu mtu anayejiita #THE BIG SHOW,
Kwanza kabisa hana akili sawasawa pili ajawai kufanya utafiti,
miaka ya hifi karibuni ndani ya Bunge la Tanzania Mbunge mmoja alisimama na kusema Rais kikwete ndiye mwanzilishi wa udini hapa nchini,
yule Mbunge alipewa siku 7...
Mfanyabiashara maarufu mjini Moshi leo asubuhi amejiua kwa kujipiga risasi.Mfanyabiashara huyo ajulikanae kwa jina AGUSTIN MALYA (kipumbu)amejiua na sababu za kifo chake bado hazijajulikana.
CHANZO: Habari Leo(11/12/2014)
Mchungaji daniel Mwasumbi leo ameachiwa huru na mahakama baada ya kukata rufaa ya kesi iliyokuwa ikimkabili,
katika hali isiyokuwa ya kawaida jambo hilo halikuwa jema kwa wafungwa baada ya wafungwa kuanza kuangua kilio nakudai mchungaji wao gerezani ameachiwa huru,
inasemekana mch mwasumbi...
Nimeanza kumkubali uhuru kinyata taratibu,
juzi alionekana mtaani akiwa peke yake ananunua karanga kwa mtoto mmoja aliyekuwa anauza karanga akampa 2000 hata hakudai chenchi
sasa ameonekana arusha bla shamrashamra yeyote bg up kenyata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.