Mfanyabiashara ajipiga risasi mjini Moshi

Mfanyabiashara ajipiga risasi mjini Moshi

Weeeee mchungaji hakanyagi hapo na hata akija anakaa pembeni kama waombolezaji wwngine hapana chezea .

Sasa hivi KKKT wamekuja na new system ya watu kama hao nimewahi kuhudhuria msiba huo nyimbo kama kawa ila huzikwi karibu na makaburi mengine ya familia wimbo na maombi tofauti na zamani ilikua marufuku kuimba hata wimbo
 
Mfanyabiashara maarufu mjini Moshi leo asubuhi amejiua kwa kujipiga risasi.Mfanyabiashara huyo ajulikanae kwa jina AGUSTIN MALYA (kipumbu)amejiua na sababu za kifo chake bado hazijajulikana.
Mabilionea wa Moshi nao wameanza? R.I.P Billionaire map.umb.u
 
Jamani kapumbu ajaacha hata jinalangu kwenye urithi???namwonea et huruma mkewe haowatoto wanaoibuka n'a mbaya copyright resvd
 
Last edited by a moderator:
Kipumbu has gone 2 early, anyway may the Almighty God take his soul wherever it deserves.
 
Apumzike alipo pangiwa.nini maana ya hiyo ak yake?je alikua nayo makubwa,madogo au alikua anajua kuyatumia vizuri?
 
Hii dunia ina maajabu mengi, wengine wanatoa billions kwa tiba ili waongeze japo miezi 3 ya uhai.. Wengine hawataki hata kufika kesho. R.I.P Kipumbu
 
hata asipoombewa tatizo ni nini. hao waombeaji wenyewe zinaa na dhambi tupu
 
mr kipumbu pumzika kwa amani
 

Attachments

  • 1418131189201.jpg
    1418131189201.jpg
    60.5 KB · Views: 516
Hii dunia ina maajabu mengi, wengine wanatoa billions kwa tiba ili waongeze japo miezi 3 ya uhai.. Wengine hawataki hata kufika kesho. R.I.P Kipumbu

ss hizi bunduki wanazinunuliaga nini ikiwa ukichemka tu unajiua!
 
Back
Top Bottom