Recent content by mnyawudesi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Kampala ni genge

    ninachoamini hujajipa muda kutafakari kwakina hoja ya hapo juu kwakawaida tu.tunajua tcu ndio kila kitu. MTU umechaguliwa na tcu utajua je kuwa Chuo wanachokupeleka ni uozo. haya yamekuja kujulikana baada ya mabaraza ya afya kutukataaa.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Kampala International University kushitaki chuo na Serikali

    ndugu zangu yaliyonipata Mimi nimakubwa Kiu ni jangwa na henge la mafisadi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Kampala International University kushitaki chuo na Serikali

    kwa taarifa tu wanafunzi waliomaliza kozi za afya wamenyimwa leseni na mabaraza ya afya likiwemo la famasi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Kampala ni genge

    chaula hapa nadhani huna uelewa wa mabaraza ya afya. kwa taarifa tu Mwaka wa pili na wakwanza wa kitivo cha afya tumeletwa na tcu. ninachokuomba ujijite katika usajili wa kada za afya mfano baraza la udaktari
  5. M

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Kampala ni genge

    mnaloona linawafaa chukueni ila wenye akili wameelewa
  6. M

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Kampala ni genge

    Watanzania wenzangu nawaombeni kwa maslahi mapana ya nchi yetu, nawaombeni sana msiwatume wanenu kwenye Chuo hiki cha kiboya. Shida yake kubwa hakina usajili wa kozi za afya hivyo mabaraza ya Pharmacy na udaktari hawakitambui. Tayari wahitimu wamenyimwa ajira na sisi tuliondani tumebaki...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Kampala International University kushitaki chuo na Serikali

    Kampala ni uozo sina hamu nacho
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Kampala International University kushitaki chuo na Serikali

    tangazo kwa wrote wanaojielewa Kiu ni uozo
  9. M

    JamiiForums Tanzania Pinda Chuo kikuu Kampala ni tatizo

    Haya yamejili Leo alipokuwa akiongea na wajumbe waliofika Dodoma Leo. Amehudhunishwa na hali ya Chuo hicho kuwa chini ya kiwango, ameonyesha kutolizika kabisa na kiwango cha elimu kitilewacho na Chuo hiki. Amesema wapo kwakutafuta fedha. Na wanaendesha kijanja. Kamati ya wanafunzi wahanga...
  10. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kukabidhi Mkanda (CD) ya mauaji ya wanachama wake Soweto

    Chuo cha Kampala ni vunja kichwa
Back
Top Bottom