Recent content by mnyasafake

  1. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    usichokijua after all sins interest na either of the company so nachokiona nitakiandika hicho.
  2. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Kama hujui sheria bora ukae kimya tu huh mtindo Wa kujifanya ulisoma sheria za harusi unaleta hapa utaumbuka.so far nishapeleka mahala husika wakachunguze Hugo mdudu kakaa ndan ya soda kwa muda gani ukumbukw mm nilikuwa bar so mashahid wengi wapo.
  3. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Mamaa kubwa unataka kuwashtaki nn sijaelewa
  4. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Yaaa mm nilikunywa bola kuangalia.na huyo aliepost soda ambayo haijafunguliwa na chafu ndan.hulaximishw kuamini Ila kubwa kuwa makin tu na unapozitumia
  5. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Itakuwa wanafanya kaz coca au wanamaduka ya vinywaji has a coca au wamekodiwa wajekutetea
  6. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Unaona mambo hayo mkuu hata mm nilikunywa paka halo ilipofikia nikakuta kafunza kamekauka humo ndani nilihis nyongo inatoka
  7. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Angalia watu wanavyopost chupa zao so mm tu na mbaya zaid no hizo passion.pia haijalish inajulikana wapi swala tambua production yao inafanyika Tanzania na hiyo ndo halo iliyojitokeza.uzembe no wawatu tu wakiamua
  8. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Wanaobisha pengine waone na yako Mamndenyi tena haijafunguliwa
  9. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Mm sasa HIV kinywaji mbadala no juice ya kujitengenezea tu mkuu.sijatumwa na MTU hayo matukio kwa macho yangu mwenyewe so naandika nikimaanisha
  10. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Si haribu boshara za watu wao ndio wanaharibu biashara yao.mbona sijasikia malalamiko makampuno mengine.namm yamenikuta mwenyewe sio hadith.watu kama nyinyi mkijaza nchi maendeleo yatachelewa sana.ukwel tuambizane
  11. M

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Ni hali ya kusikitisha sana kwa uzembe unaofanywa na kampuni ya coca cola katika suala zima la usafi na packaging. Jana nimefungua hiyo fanta passion nimekuta mdudu mfano Wa funza ndani, wiki iliyopita rafiki yangu alikunywa tangawizi ndani akakuta kisoda kimekunjwa kiko ndani. Hali kama hio...
  12. M

    Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

    Hayaaaaaa kumekucha sasa kelele zote Leo ndio Leo nani mtemi.mm nasema hiv Leo lazima yanga avuliwe chupi taifa.stay tuned
  13. M

    Maneno ya PROFESSOR TIBAJUKA enzi zile alivyokuwa Waziri....

    Hoi so kweli kawadanganye watoto
Back
Top Bottom