Kama hujui sheria bora ukae kimya tu huh mtindo Wa kujifanya ulisoma sheria za harusi unaleta hapa utaumbuka.so far nishapeleka mahala husika wakachunguze Hugo mdudu kakaa ndan ya soda kwa muda gani ukumbukw mm nilikuwa bar so mashahid wengi wapo.
Yaaa mm nilikunywa bola kuangalia.na huyo aliepost soda ambayo haijafunguliwa na chafu ndan.hulaximishw kuamini Ila kubwa kuwa makin tu na unapozitumia
Angalia watu wanavyopost chupa zao so mm tu na mbaya zaid no hizo passion.pia haijalish inajulikana wapi swala tambua production yao inafanyika Tanzania na hiyo ndo halo iliyojitokeza.uzembe no wawatu tu wakiamua
Si haribu boshara za watu wao ndio wanaharibu biashara yao.mbona sijasikia malalamiko makampuno mengine.namm yamenikuta mwenyewe sio hadith.watu kama nyinyi mkijaza nchi maendeleo yatachelewa sana.ukwel tuambizane
Ni hali ya kusikitisha sana kwa uzembe unaofanywa na kampuni ya coca cola katika suala zima la usafi na packaging. Jana nimefungua hiyo fanta passion nimekuta mdudu mfano Wa funza ndani, wiki iliyopita rafiki yangu alikunywa tangawizi ndani akakuta kisoda kimekunjwa kiko ndani.
Hali kama hio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.