Recent content by mnyamwez

  1. M

    Nani mmiliki wa gazeti la Raia Tanzania?

    kwahiyo ili gazeti liwe zuri lazima liandike habari za kuipamba ukawa? sisi wengine tunalipenda
  2. M

    Mada moto Channel 10: Edward Lowassa ndani ya UKAWA. Polepole amfananisha na malaya...

    nakukubali sana polepole kwa uchambuzi umempoteza kabisa Huyo mchungaji feki
  3. M

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    halafu we ---- kweli we ulitaka aisifu ukawa tu
  4. M

    Habibu Mchange yupo Star TV anaichana CHADEMA

    uzuri Wa mchange anaongea bila kumuonea aibu MTU anatoboa. jamaa yuko vizuri sio mnafiki.all the best kaka ukifanikiwa utakuwa mbunge bora sana
  5. M

    Hotuba ya Zitto Kabwe - Julai 04, 2015 na Orodha ya walioweka fedha Uswisi

    ahadi ni deni. wadau tutahudhuria kwa wingi kumsikiliza kiongozi wetu hajawahi kutuangusha. Nina uhakika atakuwa katika ubora wake
  6. M

    Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

    alikusaliti kwa mama yako nini?
  7. M

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Zitto yupo Star TV akichangia hoja

    Safi Zitto anatema madini tupu . hana jazba, hana mori, anapangilia hoja vilivyo. ameanza kunishawishi kukipenda chama hiki kumbe hadi ilani wameshazindua!
  8. M

    Aden Rage na muswada wa kutoa taarifa eti kaunga mkono 100%

    Acha kashfa hizo ni chuki binafsi.
  9. M

    Zitto atakuwepo LIVE Channel 10 kesho kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 asubuhi

    tutamsikiliza maana huyu sio jembe Bali ni trekta tunakuunga mkono mpaka mwisho. never loose hope
  10. M

    ACT-Wazalendo watikisa Mkoa wa Tanga leo

    safi saaaaaaana ACT kweli mmejipanga
  11. M

    Jipatie ilani ya ACT-Wazalendo hapa

    safi sana katiba nzuri sana. imeandikwa kitaalam na inaeleweka kwa urahis
  12. M

    ACT-Wazalendo kutikisa Mkoani Kigoma leo, Kuhutubia Kibondo na Kasulu

    Mapori yanaendelea kufyekwa kama kawaida. chama LA vijana kazini. najua watu wanakubali japo kimya kimya.
  13. M

    Azimio la Tabora: Hotuba ya Ndugu Zitto Kabwe

    safi 100% tunasapot
Back
Top Bottom