ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 643
- 1,603
Ndugu watanzania, nawasalimu kwa salamu ya kizalendo yenye kuashiria MABADILIKO na UWAZI.
Nchi yetu iko katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani. Ilani ya uchaguzi ni moja kati ya mambo yanayotafautisha chama kimoja na kingine. Ilani uchaguzi ndio huleta taswira halisi ya serikali itakayo undwa na chama husika.
Ndugu watanzania mwaka huu tunaiuza ILANI ya chama chenu kwenu, ilani iliyo zingatia itiakadi yetu ya mlengo wa kati wa kushoto na falsafa yetu ya Unyerere.
Ilani ambayo utainunua kwa kura yako ya ndio kwa kila mgombea wa ACT-Wazalendo, Ilani itakayokuja na serikali yenye lengo la kuirudisha nchi katika misingi yake ya asili kama walivyoisimika waasisi wa TAIFA HILI Shekhe Karume na Mwalimu Nyerere.
Tunawashukuru watanzania walivyotuunga mkono kwa wingi, na tunaomba muendelee hivyo kwani hatutawaangusha.
Hichi na chama chetu sote hivyo kwa pamoja kupitia chama hiki tuijenge nchi yetu.
Waweza kuipakua hapa chini na kisha ukajisomea taratibu na kwa umakini mkubwa.
Nchi yetu iko katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani. Ilani ya uchaguzi ni moja kati ya mambo yanayotafautisha chama kimoja na kingine. Ilani uchaguzi ndio huleta taswira halisi ya serikali itakayo undwa na chama husika.
Ndugu watanzania mwaka huu tunaiuza ILANI ya chama chenu kwenu, ilani iliyo zingatia itiakadi yetu ya mlengo wa kati wa kushoto na falsafa yetu ya Unyerere.
Ilani ambayo utainunua kwa kura yako ya ndio kwa kila mgombea wa ACT-Wazalendo, Ilani itakayokuja na serikali yenye lengo la kuirudisha nchi katika misingi yake ya asili kama walivyoisimika waasisi wa TAIFA HILI Shekhe Karume na Mwalimu Nyerere.
Tunawashukuru watanzania walivyotuunga mkono kwa wingi, na tunaomba muendelee hivyo kwani hatutawaangusha.
Hichi na chama chetu sote hivyo kwa pamoja kupitia chama hiki tuijenge nchi yetu.
Waweza kuipakua hapa chini na kisha ukajisomea taratibu na kwa umakini mkubwa.