Recent content by mnyama mkal

  1. M

    PostGE2025 Unawaona wanaopost video hizo? Ni kwa ajili ya manufaa yao ya kisiasa lakini muda utakwenda na utasahaulika wakishapata wanachotaka! Jilinde

    Wewe unavyokomaa na kina mange wanahamasisha vijana kufanya fujo .je vitu wanavyolalamikia kufanywa na serikali ni vya uongo au wanawasingizia?
  2. M

    Madereva wa Formula 1, ni "Marubani" wa Jet za ardhini

    Ila naona mashindano hayako fear coz naona wanachoshindanisha sio uwezo wa madereva ila uwezo wa magari so hata kama dereva sio best ila akiendesha gari ambalo liko fastest zaidi ya mengine lazima ashinde so naona hata Sasa hiv ukimtoa max red bull umpeleke Aston martins hawezi kushinda
  3. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    naomba unifafanulie inamaanisha nini hiyo option
  4. M

    Kwanini Yanga isipige marufuku kuongelewa EFM?

    Mimi nimeacha kuangalia kipindi Chao Cha # 10 sababu ya jeflea kazi tu kukosoa yanga na kujifanya much know sana.pumbavu zake
  5. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi imekataaa .dah imetulia sana
  6. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wa Wakiondoa huo ujinga ndo ntarudi kutumia kampuni yao.kama hawataki tuwabetie si waseme
  7. M

    NMB wanatoza riba kiasi gani kwenye Salary Advance?

    Wazee naomba kuuliza anayejua riba wanayotoza nmb kwenye salary advance
  8. M

    Mateka aisifu Hamas

    Mi mwenyewe mwisrael mweusi Sijaenda bibi yetu kusifia adui zetu
  9. M

    FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

    Wanajisaulisha kipa wao manila alichofanywa
  10. M

    NMB "Mshiko Fasta" ilitakiwa ifanye kazi kama Songesha na ''Nipige Tafu" za makampuni ya simu. Mnafeli wapi?

    Naomba kuuliza.eti nmb. Salary advance Yao wanachukua riba % ngapi?
Back
Top Bottom