ahaa ahaaa ahaaa ahaaaaa eti tumekimbilia kusoma ili tuone MBUNYE......wakati hata MBUNYE yenyewe hatuioni tumeishia kuona neno la MBUNYE tuuu sasa sijui ulikua unataka tujua nini kuhusu MBUNYEE kweli umeamua kuelezea msamiati huu wa MBUNYE bila ktuambia MBUNYE ni kitu gani...haya bana wewe baki...
Labda mimi sijaelewa mtoa mada anmaanisha nini??? au Katumwa?? Maana hii ni invoice ya accomodation na si sitting allowance anayoikataa sasa mnataka hadi kulala hotelini atoe ya mfukoni mwake?? Naona wanaJF huyu mtoa mada anakaushabiki kasiko na TIJA
Ni haimo kwenye timu BORA 50 za kwanza labda kuanzia 51....na kuendelea tunaweza kuipata Yanga iko nafasi ya ngapi ngoja tuwaulize CAF kama wanaweza tupatia list ya timu zote zilizowahi shiriki mashindano yanayoandaliwa na CAF ndipo tutajua mustakabali wa Yanga iko nafasi ya ngapi.....ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.