Kama Mwenge siku hizi imekuwa kero tupu,uzalishaji unapungua kila siku.
Makamba alipoapishwa kuwa Waziri wa Nishati aliwapa Tanesco 2 weeks umeme usikatike lakini matokeo yake ni katakata tu.
Kumekuwa na usumbufu mwingi kwa hizi daladala zinazopita barabara ya TRA kwenda Sinza,Shekhilango,Mabibo hususani eneo la Mwenge Mabucha kona ya kuingia sokoni, wamefanya ndio Stand ya kupaki wakati stand yao kiko kule baada ya Taa za Mwenge kwenda Coca-cola.
Mwanzoni Trafic wa Mwenge walikuwa...
Mwenge karibu na Azania Bank pia kuna line haina umeme tangu jana usiku mpaka sasa hivi na taarifa zilishatolewa jana ileile lakini bado mpaka hamjaja na hii line kipindi hiki inasumbua sana mnatengeneza inakaa kidogo tu inarudia tatizo lile lile inaonesha Transformer imechoka
Habari ndugu zanguni,nina rafiki yangu ameniomba ushauri kuwa ana sh 800,000/= na ataka kufanya biashara.je ni biashara gani ya laki nane anaweza kuifanya katika wakati huu?
Ndiyo ametoka chuo ila kutokana na changamoto ya ajira ameona bora afanye biashara.
Asanten.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.