MBONA UNACHOSEMA NI TOFAUTI NA HALI HALISI KULE MTWARA ? nadhani ubongo wako umepata shock ya gesi. uje upya na hoja ya maana. tutakuhamasisha ule mizizi, shauri yako.
Dr. Ni kiboko , usiku kucha anatafutwa kuchafuliwa kisa ni vile anavopata umaarufu. Hakuna wanasiasa wengine e e e e e ? Mnanichosha . Endeleeni tu ila mnamwongezea cv.
ISSUE HAPA NI SERIKALI KULINDA NA KUONDOA KERO ZOTE ZA JAMII NA MAKUNDI HALALI AMBAYO YANATAMBULIKA KWA KUKEMEA IWAPO KUNA UPOTOSHAJI NA KUFAFANUA MAMBO AMBAYO HAYAJAELEWEKA KWA JAMII. SOMA VIZURI TAMKO NA MKATABA ULE WA MoU UPATE UFAHAMU, USITUMIE NGUVU UKAACHA AKILI NYUMA.
Mbona anaumauma maneno ? Wananchi wangapi hawana uwezo wa kukata rufaa kama giant lema na wamedhurumiwa haki zao ? Utawala bora wa ccmizi hadi ukate rufaa ? Wewe zoba kweli, hiloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.