naona wanaoweza kushinikiza waziri huu ajiuzulu ni sisi wananch kumzomea mpaka atoke kabisa,huwez tuambia kuwa kiwango kimeongezeka kwa kushusha alama za ufaulu,unawapa mzigo walimu wa sekondari .ila maneno aliyosema mnyika kuwa nanh na serkali ya nanh ni dhaifu ndo haya yanadhihirika,kwani mficha ugonjwa mauti humuumbua,mficha udhaifu madhara yake ni haya,watz tuungane kwa pamoja,