Recent content by mnono

  1. M

    Startimes wanadai tulipie Local channels

    Week mbili zilizopita watoa huduma wa Startimes walinipigia na kuniuliza kwanini nimekaa muda mrefu bila kulipia king'amuzi nikawajibu watoto wakuangalia katuni hakuna hivyo sihitaji hizo channel za kulipia. Wakasema wanafanya upgrading ya software hivyo nisipolipia sitaweza kuona, kuanzia...
  2. M

    Startimes hiki kiburi chenu kitakuwa anguko lenu nashangaa TCRA wanawachekea tu

    Tuliambiwa local Tv ni bure cha kushangaza ninapata ujumbe kwenye Tv kuwa nirecharge ili niendelee kuona, tafadhali naomba muongozo humu ili tuweze kufikisha malalamiko yetu, mimi sina mpango wa kuangalia vipindi vyao vingine nataka local Tv tu, na kisheria ni bure sasa kwanini nilipe?
  3. M

    Kilimo cha mpunga Mvomero

    Aksante sana nitashukuru
  4. M

    Kilimo cha mpunga Mvomero

    Ndugu wanajanvi, nahitaji kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji, naomba mwenye habari za kilimo hicho ikiwa ni pamoja na jinsi ya kupata mashamba, gharama za ukodishaji, gharama za kilimo na soko kama zinapatikana nitashukuru sana. Aksanteni.
  5. M

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Naomba niunge kwenye group la whatsapp Boss +255768910194
  6. M

    Computer4Sale Computer 4 Sale.

    Mawasiliano please
  7. M

    Nyumba na viwanja Dodoma

    Poa
  8. M

    Naomba msaada wa kuandaa Proposal

    Ok nitakucheki
  9. M

    INAUZWA Dell Inspiron N5050 core i3 320,000/=

    Laki tatu njoo pm
  10. M

    Heri ya mwaka mpya wana MMU wote

    Happy new year 2017 all JF members
  11. M

    Hii ndo hali halisi leo Arusha

    Moshi karibu waende kwa miguu Mababu zetu walikuwa wanasafiri hivyo hakukuwa na mabasi
  12. M

    Kwacha ya Zambia inaipiku shilingi ya Tanzania kwa mbali

    Ungejua kwanza historia ya kwacha ya Zambia, nafikiri mwaka 2013 Zambia waliamua kuchapisha pesayao upya baada ya pesa yao kutokuwa na thamani, hivyo wakaamua kuondoa sifuri tatu yaami badala ya kwacha 1000 pesa mpya ikawa K1, kilichobadilishwa ni wingi wa pesa na sio pesa kuwa na thamani, K...
  13. M

    Anza siku yako na Bwana

    Amen
Back
Top Bottom