Week mbili zilizopita watoa huduma wa Startimes walinipigia na kuniuliza kwanini nimekaa muda mrefu bila kulipia king'amuzi nikawajibu watoto wakuangalia katuni hakuna hivyo sihitaji hizo channel za kulipia. Wakasema wanafanya upgrading ya software hivyo nisipolipia sitaweza kuona, kuanzia...
Tuliambiwa local Tv ni bure cha kushangaza ninapata ujumbe kwenye Tv kuwa nirecharge ili niendelee kuona, tafadhali naomba muongozo humu ili tuweze kufikisha malalamiko yetu, mimi sina mpango wa kuangalia vipindi vyao vingine nataka local Tv tu, na kisheria ni bure sasa kwanini nilipe?
Ndugu wanajanvi, nahitaji kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji, naomba mwenye habari za kilimo hicho ikiwa ni pamoja na jinsi ya kupata mashamba, gharama za ukodishaji, gharama za kilimo na soko kama zinapatikana nitashukuru sana.
Aksanteni.
Ungejua kwanza historia ya kwacha ya Zambia, nafikiri mwaka 2013 Zambia waliamua kuchapisha pesayao upya baada ya pesa yao kutokuwa na thamani, hivyo wakaamua kuondoa sifuri tatu yaami badala ya kwacha 1000 pesa mpya ikawa K1, kilichobadilishwa ni wingi wa pesa na sio pesa kuwa na thamani, K...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.