Mama Samia namkubali sana,Jiwe ametupitisha kwenye maisha ambayo hatujawahi kuhisi kama tutayaonja,alikuwa Mtu KATILI sana,hakuwahi kujali thamani ya binadamu yeyoye,aliongozwa na roho chafu mpaka watu wengi watumishi wakalazimika nao kuwa na roho mbaya sana kufuata chanel yake.
Mtu aliyeona...