Recent content by mnipa

  1. mnipa

    Makamu wa Rais Dk. Bilal, Afande Kova, Mkuu wa Mkoa wa Dar na Dk. Magufuli wanusurika ajali ya helikopta

    Huyo mkuu wa mkoa hiyo ilikuwa yake ya mwisho safari .mi nampa pole kiongozi mwadilifu anayejari maisha watanzania ndugu magufuri mungu akulinde
  2. mnipa

    Sheria itungwe, kutopiga kura iwe ni kosa la jinai

    Hebu fikiria kwanza kabla hujaanzisha mjadara hivi wewe kama huna akiri timamu hebu niambie kuna serikali gani anaweza kuanzisha zoezi la kuzuia pikipiki zisifike mjini hata za watumiaji binafsi na kisha kuanzisha ushuru wa wanaotaka kuingia mjini kwa pikipiki anatakiwa kulipa tsh 60,000 kwa...
  3. mnipa

    Makachero wa Kagame mbaroni Dodoma

    Tuna kumbuka matokeo ya uchaguzi mkuu miaka kazaa iliyopita ilichakachuliwa kupitia mzee wa samunge sasa namchakachue na hili bunge la katiba tuwawaonyeshe wa tz tulivyo choshwa na hizo flush age zenu za kutuzurumu tumechoka nawabieni sawa.
  4. mnipa

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Asante ndugu naomba hunijuze vizuri juu ya mkoa wa simiyu halimashauri ya meatu maisha kiujumla juu vyumba vya kupanga upatikanaji wa chakula huduma ya afya na huduma nyingine za kijamii .0713301612.
  5. mnipa

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Mi nimepangiwa meatu nipeni dondoo za huko juu makazi ndugu.
  6. mnipa

    KILIO LL,B!Chuo cha MUCCoBS kimewanyima makusudi pesa za field wa wanafunzi wa SHERIA(LL,B)

    Jamani wa tz naomba mnisaidie kama wazanzibar wameanza vituko vya kuwa taka wabara warudi kwao hapa kuna muungano kweli sasa nasie wa matekwe tuwarudishe kwao hawa wazanzibar wanaofanya biashara za usafiriji.
  7. mnipa

    Katiba Mpya na Serikali Tatu: Warioba amvaa Gharib Bilal kwenye kikao, hali yachafuka...

    Hacheni kutupumbaza tupeni serikali tatu
  8. mnipa

    Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

    Kuna siku niliwai kuuliza ktk mtandao furani juu ya kitu dini sikupata jibu mpaka sasa kwani mada hii inafanania sana na hiki kitu dini ebu tufikiri vya kutosha kabla ya ukoloni haya mambo yalikuwepo kweli na kama yalikuwepo ni Kwa kiasi gani kisha tulinganishe na kipindi hiki halafu ndio...
  9. mnipa

    Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

    Hanacho kifikiri kagame ni cha kweli kwani nchi kama south Africa ina vitegauchumi sawa na tz kama madini bandari name na mbuga za wanyama.ivi kuna nini tz?
Back
Top Bottom