Katika zoezi la utoaji pasi mpya za kielektroniki ofisi ya uhamiaji wanaelekeza kuambatanisha vitu kadhaa ikiwemo cheti cha kuzaliwa, kuna mtaalamu mmoja ambaye anahakiki vyeti kwa kuviangalia na ukimpa cheti atakwambia "hii siyo sahihi ya mama Kaisi" kwa hiyo atakuamuru uende RITA ukatafute...
Ndugu, jamaa au rafiki ameondoka nyumbani kwenda kujitaftia ridhiki mbahati mbaya amepata la kumpata labda ajali, wakatokea wasamaria wema wakampeleka hosipitali, nyumbani haonekani ametafutwa kote mpaka vituo vya polisi kumbe alipopelekwa hosipitali alikuwa ameshapoteza maisha (dead on arrival)...
Nimetoka kibaruani kufanya kazi ngumu nimepewa ujira ambao sina uhakika kama unaendana na kazi niliyofanya, nimeweka kiasi honcho cha pesa kwenye mfuko wa mbele wa suruali (siyo jeans) wakati bado Nina msongo nisijue kiasi hicho cha nitakipangilia vipi akatokea mtu mmoja akaingiza mkono wake...
Kwa aliyesikiliza katibu kiongozi akitangaza majina ya wateule wapya ni kwamba mh Wilbad Mashauri amechaguliwa kuwa jaji mahakama kuu na mh jaji Rehema wa mahakama kuu ameteuliwa kuwa jaji mahakama ya rufani kama hujasikia jina lako endelea kukandamiza wanyonge tukukusanyie dhambi zako uhangaike...
wakati tunaelekea mwisho wa mwaka nimeona nifanye jambo kwa familia ya jf nitakuwa Natoa Huduma za kuchimba makaburi na kuandaa maiti kwa ajili ya kuzika Huduma hii ntaifanya bila malipo yoyote ikiwa ni shukran kwa familia na uongozi wote wa jf ...simuombei Wala kumtabiria mtu kifo ila kifo...
Nadhani ndiyo ..kwani alikuwa anachagua wale waliokata roho ndani ya nusu yaani zile nyuzi joto za binadamu 37 zinakuwa bado hazijashuka sana ...ingawa wakati anamalizia alikuwa anaongea maneno kwa lugha ambayo nakumbuka neno moja tu "makhashte"
Katika zunguka zunguka na kutafuta ridhiki nilijikuta nimefika nchi fulani, tukiwa katika harakati za kutafuta maisha tulikijikuta mikononi mwa wanausalama wakituhusisha na uhamiaji/ ukaazi haramu tulikuwa nane.
Binafsi nilijaribu kuwakimbia kwani hawakutufunga pingu ila kumbukumbu zangu...
Haya ni mazoea ambayo tumejiwekea, tunatembea na wallet iliyojaa kadi nyingi na fedha, wallet inakuwa imetuna halafu utakuta mtu anaiweka kwenye mfuko wa nyuma wa suruali huwa ni mbaya zaidi kama utakaa kwa muda mrefu ama kuendesha gari kwa umbali mrefu.
Mwili wa binadamu umeumbwa kwa viungo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.