Uchawi ndivyo unavyoanzaga hivi....

Uchawi ndivyo unavyoanzaga hivi....

Nilikuwa naomba mizimu yote nisitajwe hapa Lakini haina jinsi nimetajwa
Sasa iko hivi huo uchawi unaitwa wa kijicho na ubinafsi... Yani kwa mfano una wabunge na madiwani wa kutosha kabisa halafu bado unahangaika kuwarubuni wa mwemzako kwa vitisho fedha na vyeo... Kweli kabisa uchawi huanza hivyo.... Ficha ID yangu
Mtani jibu lako umevuka mataa alafu kama la kichokozi hivi
 
Nilikuwa naomba mizimu yote nisitajwe hapa Lakini haina jinsi nimetajwa
Sasa iko hivi huo uchawi unaitwa wa kijicho na ubinafsi... Yani kwa mfano una wabunge na madiwani wa kutosha kabisa halafu bado unahangaika kuwarubuni wa mwemzako kwa vitisho fedha na vyeo... Kweli kabisa uchawi huanza hivyo.... Ficha ID yangu

Kwa hiyo malaika mkuu ni kinyume chake!
 
Nilikuwa naomba mizimu yote nisitajwe hapa Lakini haina jinsi nimetajwa
Sasa iko hivi huo uchawi unaitwa wa kijicho na ubinafsi... Yani kwa mfano una wabunge na madiwani wa kutosha kabisa halafu bado unahangaika kuwarubuni wa mwemzako kwa vitisho fedha na vyeo... Kweli kabisa uchawi huanza hivyo.... Ficha ID yangu
Haha haha ,huku kaloleni kuna mwingine ameenda kuunga mtu mkono,kweri ni aina ya uchawi
 
29386450_105452303632106_6643779322706395136_n.jpg
Hata chakubanga alianza hivi hivi!!
 
Nilikuwa naomba mizimu yote nisitajwe hapa Lakini haina jinsi nimetajwa
Sasa iko hivi huo uchawi unaitwa wa kijicho na ubinafsi... Yani kwa mfano una wabunge na madiwani wa kutosha kabisa halafu bado unahangaika kuwarubuni wa mwemzako kwa vitisho fedha na vyeo... Kweli kabisa uchawi huanza hivyo.... Ficha ID yangu
tapatalk_1522423514219.jpeg
tapatalk_1522429316112.jpeg
Brooo shikamooo karibu huku popoma la kichaga limeacha mbege sasa nipo huku
 
Back
Top Bottom