Msaga Sumu lugha ni kama njia tu ya kufikisha ujumbe kwa hadhira.
Haiyumkini Watanzania huwa tunapata shida sana inapofika suala la Lugha, nina mifano mingi tu inayoonyesha wenzetu huko tunakotaka kuwaiga huwa wanatumia sana Lugha zao, mfano Wachina, waarabu, warusi, wajerumani nk, ni ajabu...
Greenwich Mean Time, ni Mji huu ambako kinadharia ni sehemu inayopitwa na Mstari wenye nyuzi 0 ambao unatumika katika kuhesabu masaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Kwa hiyo kuna Zones ambazo zinatofauti ya Saa moja moja kwa mfano masaa ya Ghana yanafanana kabisa na Uingereza kwa sababu...
Mkuu hapana hivi ushafika Mbeya ukajionea Debe la viazi mviringo linauzwa kiasi gani? Nenda Tukuyu angalia ndizi, maparachichi, mahindi, kabichi ni bei gani? Shuka Kyela angalia Mchele ama nenda Ubaruku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.