Dini ni tamaduni, dini ni mfumo wa maisha. Uislamu umenyoosha sana mambo yake mengi ili kuendana na hali iliyopita, ya sasa na ya baadae ya dunia hii.
Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu!!
Mkuu labda kama unachuki binafi... Maua sama ni LEGEND katika mziki wa bongo, maua hjaanza leo katika IOKOTE, maua ana saut ya kuimba.. Ukiwapanga Solotist Tanzania hutaacha kumuorodhesha maua sama... Nenda youtube kasikilize Akiimba bila ala yyte ya mziki kisha rudi tena tuambie
MndemeImran✍🏿
Awali ya yote naomba kutoa pole zangu kwa Ndgu, jamaa, marafik na wafiwa wote wa Ajali ya Mv. Nyerere.. Taifa kwa ujumla tunaombeleza kwa uchungu msiba huu mzito uliotukuta watanzania... Inalillah wainarllah rajuun( Hakika sote ni wa mwenyez mungu na kwake tutarejea)
Allah...
KIVUKO CHA MV NYERERE CHAZAMA
Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama muda huu, huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hicho hazijajulikana.
KUZAMA KWA KIVUKO
Shughuli za uokoaji abiria waliozama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.