Hii imekua kama fashion kwa mawaziri wa serikali ya awamu ya tano. Ili waziri asikike na aonekane anafanya kazi anatimua mtu. Na procedure hazifatwi utawala wa sheria hamna kbs.
Nina uhakika kabisa hata muheshimiwa Rais alikua anaona utendaji wa bwana Heche, wengi tulijua kwa utendaji ule lazima Magufuli angempa kitengo muhimu ili watende kazi sambasamba na wasiwasi sana na muheshimiwa waziri katika hili?muheshimwa rais tumeanza kupata hofu na utendaji wa mawaziri wako...
Kwani alikua anafanya kazi under his own instructions?sijui ni kwa nn watu wanashindwa kujua hii ni kazi ya serikali na hii ni kazi binafsi. Heche yeye ameajiriwa na alikua anapewa order kutoka kwa wakubwa zake... mbona mambo marahisi sana kuyaelewa haya?sasa ulitaka aache kazi ili ujue...
Ndo shida yetu wanawake, ataogopa aibu ya sasa lakini ataishi maisha ya majuto na kilio,hata watu anaotaka kuwaficha hiyo aibu sasa hawatakuepo baada ya ndoa,atakua mwenyewe, dalili ya mvua ni mawingu. Na thubutu yake ajifanye anamuuliza chochote endapo atakua anafanya ujinga incase wakifunga...
Aiseee nipo na wewe swali ulilojiuliza kipengele cha mwisho tuu ila hivo vipengele vingine vimenipa maswali pia kuhusu wewe kufikiria kwako... Hv Tanzania ya leo ilivojaa watu wengi na kila mtu anapenda kusoma kweli bado unafikiri the so called vichwa wanatoka udsm na hvyo vyuo vingine umetaja...
Naona kama umebase zaidi kw wayapendayo wanaume zaidi lakini kuna mambo mengine ambayo wanawake wapo kwa wingi wao mfano mwanaume hataki mkewe atoke nyumbani hata kwenda kazini ni shida kwa sababu anazozijua yeye anampa optiona mkewe achague kazi au ndoa?wapo wanawake wengi wameacha kazi...
Bahati anaimba sio utani km hii albam ya dunia haina huruma ukichek na video yake yani movie sio movie yani huwezi choka angalia na kilichopo mi nadhani ni kwa sababu anaimba mambo halisi habahatishi. Mungu azidi kumbariki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.